You dreaming!
Madiwani Bukoba walimbishia Rais JK hadharani na CCM kikaogopa kuwafukuza!
Nape anasema CC-CCM imetoa siku 90 mafisadi wajiondoe CCM wenyewe na mafisadi wakajibu ataoondoka yy na kweli hadi leo wapo na kibaya zaidi wamepewa kamati muhimu mno Bungeni!
CCM ni chama legelege kinachowakumbatia wabakaji na walawiti!CHADEMA kwa maamuzi haya wanaonyesha wanakwenda kuichukua dola 2015!
Kigoma inasifika kwa kutuzalishia wana siasa wa hovyo hovyo na haya ya Zitto hayanishangazi!
"Like" inawezekana ikamaanisha 'Noted', si lazima maana yake kwamba umependa kilichoandikwa. Mfano mzuri ni Pasco, yeye akiipitia post yako katika thread aliyoanzisha ataigongea "Like"....Lema alipaswa walau kukemewa juu ya hatua yake ya kumkashifu Zitto mitandaoni. Lakini cha kushangaza Katibu Mkuu anamgongea "Like"
"Like" inawezekana ikamaanisha 'Noted', si lazima maana yake kwamba umependa kilichoandikwa. Mfano mzuri ni Pasco, yeye akiipitia post yako katika thread aliyoanzisha ataigongea "Like"
Kwa hali halisi ilivyo, Jeshi la kijani (aka Jeshi la Magamba) likichomoza vizuri katika kumteua mgombea wa Urais, basi jeshi hili la Magwanda litashindwa vibaya!
Sisi wengine hili tuliliona siku nyingi na tukalisemea humu!. Mimi nilisema, Chadema Haijajipanga ki mipango mkakati wa kushika dola 2015, but ni wishful thinker!.
Japo kwa tatizo ni baadhi ya askari wasionanidhamu, kiukweli tatizo kubwa ni weaknesses kwenye higher commands!.
Wengi badala ya kudeal na chanzo, the causative agents, wana concentrate na matokeo!.
Pasco
You dreaming!
Madiwani Bukoba walimbishia Rais JK hadharani na CCM kikaogopa kuwafukuza!
Nape anasema CC-CCM imetoa siku 90 mafisadi wajiondoe CCM wenyewe na mafisadi wakajibu ataoondoka yy na kweli hadi leo wapo na kibaya zaidi wamepewa kamati muhimu mno Bungeni!
CCM ni chama legelege kinachowakumbatia wabakaji na walawiti!CHADEMA kwa maamuzi haya wanaonyesha wanakwenda kuichukua dola 2015!
Kigoma inasifika kwa kutuzalishia wana siasa wa hovyo hovyo na haya ya Zitto hayanishangazi!
"Like" inawezekana ikamaanisha 'Noted', si lazima maana yake kwamba umependa kilichoandikwa. Mfano mzuri ni Pasco, yeye akiipitia post yako katika thread aliyoanzisha ataigongea "Like"
"Like" inawezekana ikamaanisha 'Noted', si lazima maana yake kwamba umependa kilichoandikwa. Mfano mzuri ni Pasco, yeye akiipitia post yako katika thread aliyoanzisha ataigongea "Like"
Mkuu Mwanakijiji bandiko zuri. Lakini nikuambie kitu kimoja nacho ni hiki: Jeshi kuna nidhamu na amri vilevile. Jeshini hakuna kitu inaitwa Demokrasia bali amri. Hii ni tofauti sana na vyama vya siasa. Nidhamu ndani ya vyama vya siasa ni demokrasia na hoja zenye nguvu badala ya ubabe na vitisho. Kusipokuwa na demokrasia ya kweli ndani ya vyama vya siasa lazima kukosekane nidhamu. Nidhamu itatoka wapi kama kuna kuburuzuna bila demokrasia?
Mfano wa Jeshi na Chama cha Siasa ni mfano mfu- JESHINI NI AMRI TU, UTAKE UNAFUATA USITAKE UNAFUATA HAKUNA DEMOKRASIA KULE.
Kila jeshi duniani lina watu ambao wanakuwa na mambo yao na hata kulidhalilisha jeshi. TUnakumbuka Gereza la Abu Ghraib, au mauaji ya ile familia kule Afghanistan; hata hapa US kesi ya yule Daktari (major Nadar) aliyewaua askari wenzie. Hili si jambo jipya kuwa na askari rogue, waasi au pure rebels. Hata hivyo katika mifanano yote hiyo utaona kuwa ni ile nidhamu ya kijeshi inayosababisha hatua kali kuchukuliwa kwa wanajeshi. Juzi juzi Wamarekani wamemfunga yule kijana aliyeiba siri za Kidiplomasia ambazo zilichapishwa kwenye wikipedia (na siye wengine tukajua yale mambo ya suti!). Mwenyewe alisema anafanya hivyo kwa "maslahi ya taifa" lakini mahakama haikumuonea huruma; amekula kifungo cha maisha.
Lakini inapotokea kuwa kuna a systematic indiscipline ndani ya jeshi hakuna njia nyingine isipokuwa kuanza upya. Nyerere alifanya hivi na jeshi la KAR alilorithi kutoka Mwingereza (likawa Tanganyika Rifles) pale ambapo lilifanya uasi. Alichukua maamuzi ya lazima kulivunja jeshi na kuanza upya - japo wengine walikuwemo ndani ya jeshi la awali. Lakini kubwa alilosisitiza katika jeshi jipya (JWTZ) ni nidhamu.
Mifano hii itusaidie tu kutafuta njia nzuri ya kushughulikia matatizo yanayokabili upinzani sasa hivi hususan CDM. Vinginevyo hata wale wanaosema wanataka mabadiliko wao wakiingia madarakani watajikuta wanawatu wanawapinga vile vile na gurudumu hili halitakoma...
LEMA ni radical tu, si mwanajeshi, si mwanasiasa wala si kiongozi.... kuna siku chadema watajutia kuwa nae
he has no control, nor understanding of what leadership is
Lema na zitto wote ni watu waliojiunga na siasa kama opportunists na wote hawana faida kwa nchi
Mkuu sio suala la tafsiri ya dictionary, ni la kimantiki. Umesema wangetaka wangeweza, ila sasa hawajataka na hakipo. Sasa kama hakuna kitufe cha "noted", watu si wanagonga hiyo hiyo iliyopo?Laiti wenye mtandao wa JF wangetaka kitufe cha "Like" kiandikwe "Noted" wangeweza, na hiyo ni rahisi kweli lakini hivyo ni vitu viwili tofauti. angalia tena dictionary
Nidhamu pekee ya jeshi si hoja ya kushinda vita,
Ukinisoma utaona sijasema "nidhamu pekee". NItakuwa sielewi jeshi wala masuala ya vita au jinsi ya kutafuta ushindi. Unaweza kubadilisha wanajeshi, vifaa au hata utaalamu lakini huwezi kubadilisha nidhamu. Can you?
you might have a point somewhere...
Jiulize haya
:> ilikua kuna haja gani ya lema kumtusi zitto kuwa ni mnafiki kwenye mitandao wakat wote ni wa baba mmoja.ivi wameshindwa kukaa chini nyumban kwao kuyamaliza....
Kwa mwenye akili timamu tu utajua lema ni mfuasi wa nani ndani ya chadema... Hivi wabunge wooote wa chadema hawakuuona unafiki wa zitto kwenye posho kuona lema tu na kuamua kumtusi via mitandao?? Yeye kama msemaji wa nani,, chama kipi?? Bora hata angesema mnyika tungesema ni yupo idara ya habari
haya lema alishindwa vipi kuupeleka unafiki wa zito kwenye vikao vya chama viongozi wa ujadili..jaman acheni kufuata upepo watu wapo kazini mjue....