kama mlifanikiwa kwa NCCR ya Marando na TLP ya Mrema miaka hiyo, kwa CDM si rahisi - Jipangeni upya!!Mnatapatapa tu, kujidai kuikuza chadema na kuitolea mifano ya jeshi na USA.
chadema kimenuka, hakuna zaidi!
Hukuyaona ya Mrema na Marando huko zamani? yalifikia tamati hivi hivi, kama tuonavyo sasa. Labda uwadanganye wasiokuwapo.
Chadema kimeshafanya kazi yake kama kilivyopangiwa na sasa ni wakati muafaka kuki-nyutralaizi. Hakuna zaidi.