MTAZAMO
JF-Expert Member
- Feb 8, 2011
- 19,639
- 33,414
Pasco wewe unaamini Zitto ndio mwarobaini wa ugonjwa wa CDM lakini ukisoma wenzako unaona jinsi walivyo honest kuhusu tatizo halisi badala ya chuki tu kwa watu wawili Mbowe na Slaa.
Kwa umri wenu mnapaswa kuwa waungwana na kukosoa bila chuki tu kama mjamzito anapoamua kuchukia kitu tu huku akitoa vijisababu vya kipuuzi.
Ukirudia tena kusoma bandiko la MM utaelewa bandiko hili limekusudia nini.
Kwa umri wenu mnapaswa kuwa waungwana na kukosoa bila chuki tu kama mjamzito anapoamua kuchukia kitu tu huku akitoa vijisababu vya kipuuzi.
Ukirudia tena kusoma bandiko la MM utaelewa bandiko hili limekusudia nini.
Last edited by a moderator: