Swali la Ugomvi: CCM Inaweza Kutoa Mtu Anayeweza Kumzidi Kikwete?

Mkiambiwa kweli mnasema chuki, nakupa ruksa, rudia post zangu uweke hapa ushahidi wa hiyo chuki, utachokikuta useme kuwa hapa haikuwa hivi ilikuwa hivi, haya anza.

Huwezi kuiongolea taasisi ya Urais bila kumtaja Rais wa awamu hiyo, rejea hadidu zote za kisomi, atajwae ni rais, usiwe punguani.

Sasa wewe onesha yaliofanywa kwa Tanzania hii na awamu zote zilizopita, ya kwanza, ya pili, ya tatu na mimi ntakuonesha kuwa awamu ya nne imefanya zaidi ya zote hizo kwa pamoja. Kinakushinda nini?

Hv post zako bila kutumia matusi naona hupati raha ????
 
Hv post zako bila kutumia matusi naona hupati raha ????

Onesha tusi liko wapi hapa? umeshindwa kuja na niliyokuuliza unazidisha upunguani wako?

Jibu haya:

quote_icon.png
By FaizaFoxy
Mkiambiwa kweli mnasema chuki, nakupa ruksa, rudia post zangu uweke hapa ushahidi wa hiyo chuki, utachokikuta useme kuwa hapa haikuwa hivi ilikuwa hivi, haya anza.

Huwezi kuiongolea taasisi ya Urais bila kumtaja Rais wa awamu hiyo, rejea hadidu zote za kisomi, atajwae ni rais, usiwe punguani.

Sasa wewe onesha yaliofanywa kwa Tanzania hii na awamu zote zilizopita, ya kwanza, ya pili, ya tatu na mimi ntakuonesha kuwa awamu ya nne imefanya zaidi ya zote hizo kwa pamoja. Kinakushinda nini?

Kama huna majibu sema "sina" na ukubali kuwa huna cha kuonesha cha Nyerere, Mwinyi Mkapa waliokifanya kwa nchi hii ambacho Kikwete hajakifanya zaidi.

Simply huna. Huyo Ndiyo Jakaya Khalfan Mrisho Kikwete.
 
Onyesha kizuri kimoja cha Nyerere, Mwinyi na Mkapa ambacho Kikwete hajakifanya zaidi.

Tanzania ya leo unataka kuifananisha na Tanzania ya kupanga foleni kuanzia saa nane za usiku kungoja kilo moja ya sukari? au ile ya kukimbiza gari la ugawaji hujui kinachopelekwa dukani?

Nakuuliza kitu kimoja unijibu ukweli wako, wakati wa utawala wa Nyerere ulikuwepo?

Wacha porojo, kubwabwaja na kuhororoja.

Mkuu mimi nilikuwepo wakati wa Nyerere, i do not get your exact point on this, i am not sure whether you are for JK as a person or for CCM as a party, or have a different agenda which is driven by neither of the two. For a Tanzania to say that we are better now that 10 years ago, much better than we were in four previous administrations, you need top have very good evidence to justify. I am sure JK mwenyewe ambaye anajitahidi kwa moyo wake kufanya kila analoweza hawezi kusema hilo. he know what country he inherited and he said it well duing his first speech to the nation after he took over. So i am waiting to listen what he will say in his last speech.

Nilikuwepo wakati wa utawala wa JKN aka mchonga meno. Nakumbuka sana mabaya ya wakati ule, kuna wakati nilikuwa nakimbilia magari ya ugawaji (yakupowepo ya NMC na RTC) bila viatu wakati wingine nikiwa nimevaa malapa ya Bata, kuna siku nakumbuka tulidhani kuwa boflo zimekuja, kumbe walikuwa wanasafirisha mwili wa marehemu. Nakumbuka kuwa hakukuwa na televisheni, kulikuwa na magazeti machche sana moja lilikuwa uchwara kabisa lilikuwa linaitwa Uhuru, kulikuwa na mzalendo, lingine kiongozi na Daily news, Radio ilikuwa moja tu RTD idhaa ya taifa na biashara, bia kununua kuna wakati tulikuwa tunawka oda na makreti yalikuwa mabaya na machafu, chupa zilikuwa ovyo na nzito, sigara zilikuwa sport na SM tu, kwa maskini sana kulikuwa na nyota, kulikuwa na magari ya uda ovyo kweli, mazuri kiasi yalikuwa yanaitwa ikarusy kutoka Hungary, mengine TRC na KAMATa, ovyo kabisa ...haya ni baadhi tu ya mabaya ninayokumbuka kuna mengine hayafai kusemwa hapa kwa kuwa labda kuna watoto watasoma..

Lakini niseme na baadhi mazuri ninayokumbuka.......as a country we did enjoy some of best security in the continent, CCM ya wakati ule ilisaidia sana kulinda usalama wa umma na mali za wananchi, na sio kusimamia wizi na ufujajji wa mali za umma. Tukikamata mwizi kulikuwa hakuna haja ya kumpeleka polisi ,CCM walikuwa wanamaliza kila kitu kwa haki kabisa....siku hizi ukipeleka mwizi kwenye ofisi ya serikali za mitaa, leave alone ya CCM, unaweza kushangaa kuwa huyu mwizi au mhalifu yuko kwenye payroll ya mtu anayekupokea.

we did have best literacy rate in the continent, among top in the world (walau kufuta ujinga)

we did have relative better health system, chanjo, tiba etc iliwafikia watanzania wote walioweza kufikiwa na walioweza kuvifikia

we did have sound and vibrant export economy and running industries(factories as well), before CIA fukced us up...coffee exports, cotton, clove, and some few processed goods

I can not remember to have had a bank robbery, top officials or their families being involved in illicit trade, drugs, murder, first degree murders, kickbacks..of official confessing that their kids are droguero

We had likes of mzee Kawawa who worked from morning to evening for Tanzania, working for party and the people


These two sides of Tanzania can give you a hint of what i know about this country. A Tanzania who will think that today we are better than we were, must either be dreaming, or for some political purposes chose to see small white dot in a big kaniki.

Mkuu haya ni maoni yangu, huenda sio sahihi. Naona unakosao kila mtu, inawezekana yako ni sahihi kuliko ya mtu yoyote hapa Jamvini.
 
Mkuu mimi nilikuwepo wakati wa Nyerere, i do not get your exact point on this, i am not sure whether you are for JK as a person or for CCM as a party, or have a different agenda which is driven by neither of the two. For a Tanzania to say that we are better now that 10 years ago, much better than we were in four previous administrations, you need top have very good evidence to justify. I am sure JK mwenyewe ambaye anajitahidi kwa moyo wake kufanya kila analoweza hawezi kusema hilo. he know what country he inherited and he said it well duing his first speech to the nation after he took over. So i am waiting to listen what he will say in his last speech.

Nilikuwepo wakati wa utawala wa JKN aka mchonga meno. Nakumbuka sana mabaya ya wakati ule, kuna wakati nilikuwa nakimbilia magari ya ugawaji (yakupowepo ya NMC na RTC) bila viatu wakati wingine nikiwa nimevaa malapa ya Bata, kuna siku nakumbuka tulidhani kuwa boflo zimekuja, kumbe walikuwa wanasafirisha mwili wa marehemu. Nakumbuka kuwa hakukuwa na televisheni, kulikuwa na magazeti machche sana moja lilikuwa uchwara kabisa lilikuwa linaitwa Uhuru, kulikuwa na mzalendo, lingine kiongozi na Daily news, Radio ilikuwa moja tu RTD idhaa ya taifa na biashara, bia kununua kuna wakati tulikuwa tunawka oda na makreti yalikuwa mabaya na machafu, chupa zilikuwa ovyo na nzito, sigara zilikuwa sport na SM tu, kwa maskini sana kulikuwa na nyota, kulikuwa na magari ya uda ovyo kweli, mazuri kiasi yalikuwa yanaitwa ikarusy kutoka Hungary, mengine TRC na KAMATa, ovyo kabisa ...haya ni baadhi tu ya mabaya ninayokumbuka kuna mengine hayafai kusemwa hapa kwa kuwa labda kuna watoto watasoma..

Lakini niseme na baadhi mazuri ninayokumbuka.......as a country we did enjoy some of best security in the continent, CCM ya wakati ule ilisaidia sana kulinda usalama wa umma na mali za wananchi, na sio kusimamia wizi na ufujajji wa mali za umma. Tukikamata mwizi kulikuwa hakuna haja ya kumpeleka polisi ,CCM walikuwa wanamaliza kila kitu kwa haki kabisa....siku hizi ukipeleka mwizi kwenye ofisi ya serikali za mitaa, leave alone ya CCM, unaweza kushangaa kuwa huyu mwizi au mhalifu yuko kwenye payroll ya mtu anayekupokea.

we did have best literacy rate in the continent, among top in the world (walau kufuta ujinga)

we did have relative better health system, chanjo, tiba etc iliwafikia watanzania wote walioweza kufikiwa na walioweza kuvifikia

we did have sound and vibrant export economy and running industries(factories as well), before CIA fukced us up...coffee exports, cotton, clove, and some few processed goods

I can not remember to have had a bank robbery, top officials or their families being involved in illicit trade, drugs, murder, first degree murders, kickbacks..of official confessing that their kids are droguero

We had likes of mzee Kawawa who worked from morning to evening for Tanzania, working for party and the people


These two sides of Tanzania can give you a hint of what i know about this country. A Tanzania who will think that today we are better than we were, must either be dreaming, or for some political purposes chose to see small white dot in a big kaniki.

Mkuu haya ni maoni yangu, huenda sio sahihi. Naona unakosao kila mtu, inawezekana yako ni sahihi kuliko ya mtu yoyote hapa Jamvini.

Ewe punguani, unakumbuka na inaonesha ulikuwa mtoto mdogo, hakuna wakati ambao nchi hii haikuwa na security kama wakati wa Nyerere. Majirani wameishambulia Tanzania, madege yao yakaingia kupiga Bukoba na Mwanza, watu wakafa wakaikimbia miji, Halikadhalika mambo kama hayo yametokea kusini mwa Tanzania wakati wa Nyerere.

Huo ndio usalama kwako.

Unazidi kudhihirisha upunguani wako.

Njaa kwako ndiyo amni? unajuwa Nyerere kakosa kupinduliwa mara ngapi? kwanini? uongozi wake mbovu, kuna siku alijificha wiki nzima, mpaka majeshi ya Uingereza yakaja msaidia ndiyo akaonekana tena. Hiyo yote kwako ni amani. Ulikuwepo siku hiyo? uliona watu walivyokufa Dar siku hiyo? maarufu inaitwa tarehe 20.

Amma kwa hakika akili za wengine wetu sijui ziko livu? hiyo ndiyo amani kwako, kukimbilia gari la mkate kwako ndio amani? Pole sana. kijana.

Kutoa watu kwenye makazi yao ya asili na kilimo chao cha asili kuwatupa maporini na kuwataka waanzishe kijiji kipya hiyo ndiyo amani kwako? unajuwa wangapi wamekufa, wameumwa, wameteseka? hiyo ndio salama na amani kwako?

Huko kwingne hata sifiki, maana sijakumbana na hoja ya kijinga humu JF kuhusu usalama na amani kama hii yako.

Ntakuja na ushahidi kukuonesha kuwa hatukuwa kabisa na hiyo "vibrant export economy", wewe kama unao wa kuonesha kuwa u mkweli tuwekee hapa.
 
Ewe punguani, unakumbuka na inaonesha ulikuwa mtoto mdogo, hakuna wakati ambao nchi hii haikuwa na security kama wakati wa Nyerere. Majirani wameishambulia Tanzania, madege yao yakaingia kupiga Bukoba na Mwanza, watu wakafa wakaikimbia miji, Halikadhalika mambo kama hayo yametokea kusini mwa Tanzania wakati wa Nyerere.

Huo ndio usalama kwako.

Unazidi kudhihirisha upunguani wako.

Njaa kwako ndiyo amni? unajuwa Nyerere kakosa kupinduliwa mara ngapi? kwanini? uongozi wake mbovu, kuna siku alijificha wiki nzima, mpaka majeshi ya Uingereza yakaja msaidia ndiyo akaonekana tena. Hiyo yote kwako ni amani. Ulikuwepo siku hiyo? uliona watu walivyokufa Dar siku hiyo? maarufu inaitwa tarehe 20.

Amma kwa hakika akili za wengine wetu sijui ziko livu? hiyo ndiyo amani kwako, kukimbilia gari la mkate kwako ndio amani? Pole sana. kijana.

Kutoa watu kwenye makazi yao ya asili na kilimo chao cha asili kuwatupa maporini na kuwataka waanzishe kijiji kipya hiyo ndiyo amani kwako? unajuwa wangapi wamekufa, wameumwa, wameteseka? hiyo ndio salama na amani kwako?

Huko kwingne hata sifiki, maana sijakumbana na hoja ya kijinga humu JF kuhusu usalama na amani kama hii yako.

Ntakuja na ushahidi kukuonesha kuwa hatukuwa kabisa na hiyo "vibrant export economy", wewe kama unao wa kuonesha kuwa u mkweli tuwekee hapa.

Sama mkuu can not argue more.

Najua sana ya geza ulole na kibungumo, sijahau mkong'oto wa Banda na wa nduli, nakumbuka sana, nakumbuka hata Buyoya alivyoshambuliwa waha Kigoma
 
Sama mkuu can not argue more.

Najua sana ya geza ulole na kibungumo, sijahau mkong'oto wa Banda na wa nduli, nakumbuka sana, nakumbuka hata Buyoya alivyoshambuliwa waha Kigoma

Itakuwa unakumbuka pia, mtu hata kikapu anasachiwa na mgambo akikutwa na sukari zaidi ya kilo moja ni kosa! mpake uwape mgambo rushwa au wakupeleke polisi wakaku harass!

Na hayo ndiyo amani kwako?

Kwangu hayo ni ukiukaji wa haki za kibinaadam na hauashirii amani hata kidogo.
 
Itakuwa unakumbuka pia, mtu hata kikapu anasachiwa na mgambpo akikutwa na sukari zaidi ya kilo moja ni kosa! mpake uwape mgambo rushwa au wakupeleke polisi wakaku harass!

Na hayo ndiyo amani kwako?

Kwangu hayo ni ukiukaji wa haki za kibinaadam na hauashirii amani hata kidogo.

Mama yangu aliwahi kukamatwa kwa kuvaa vitenge kutoka kongo, baba yangu aliambiwa atoe maelezo ya alikonunua kaunda suit...nayakumbuka sana Faiza. Kuna siku baba yangu alilala korokoro kwa kuwa alikuwa na noti 12 za shilingi 100, ambazo wakati huo zilikuwa zaidi ya mshahara wake wa mwezi. Nakumbuka mengi sana ndio maana nikasema ni bora tusiseme hapa labda kuna watoto.
 
Itakuwa unakumbuka pia, mtu hata kikapu anasachiwa na mgambo akikutwa na sukari zaidi ya kilo moja ni kosa! mpake uwape mgambo rushwa au wakupeleke polisi wakaku harass!

Na hayo ndiyo amani kwako?

Kwangu hayo ni ukiukaji wa haki za kibinaadam na hauashirii amani hata kidogo.

Faiza Foxy hii ni excerpt kutoka IPPMEDIA habari imeadikwa na Tobias Mwanakatwe. I do not think these are bodies of people killed during Nyerere era, Mwinyi or Mkapa era...good thing is we have a system now that will let it go, quietly. Hii ndio Tanzania ambayo unaisifia inayolinda haki z binadamu vizuri...do not attck me, hii imetoka Ippmedia.[h=2]Mabaki ya miili ya binadamu yakutwa msituni Dar[/h]
July 22

Mabaki ya miili ya watu zaidi ya 100 imekutwa katika msitu mdogo uliopo eneo la Mpiji, kata ya Mbweni, wilaya ya Kinondoni, jijini Dar es Salaam, ikiwa imetelekezwa. Mabaki hayo ya miili yalionekana jana katika eneo hilo majira ya jioni na kuvuta mamia ya wananchi waliokwenda kushuhudia tukio hilo. Mmoja wa mashuhuda wa tukio hilo aliiambia NIPASHE kuwa, mabaki yalikuwa yamehifadhiwa katika mifuko ya plastiki ikiwa imefungwa juu
 
Mama yangu aliwahi kukamatwa kwa kuvaa vitenge kutoka kongo, baba yangu aliambiwa atoe maelezo ya alikonunua kaunda suit...nayakumbuka sana Faiza. Kuna siku baba yangu alilala korokoro kwa kuwa alikuwa na noti 12 za shilingi 100, ambazo wakati huo zilikuwa zaidi ya mshahara wake wa mwezi. Nakumbuka mengi sana ndio maana nikasema ni bora tusiseme hapa labda kuna watoto.
kwa hiyo wataka kusema mlikuwa matajiri? Na alizipata wapi kama hakuwa mnyonyaji?
 
Faiza Foxy hii ni excerpt kutoka IPPMEDIA habari imeadikwa na Tobias Mwanakatwe. I do not think these are bodies of people killed during Nyerere era, Mwinyi or Mkapa era...good thing is we have a system now that will let it go, quietly. Hii ndio Tanzania ambayo unaisifia inayolinda haki z binadamu vizuri...do not attck me, hii imetoka Ippmedia.Mabaki ya miili ya binadamu yakutwa msituni Dar


July 22

Mabaki ya miili ya watu zaidi ya 100 imekutwa katika msitu mdogo uliopo eneo la Mpiji, kata ya Mbweni, wilaya ya Kinondoni, jijini Dar es Salaam, ikiwa imetelekezwa. Mabaki hayo ya miili yalionekana jana katika eneo hilo majira ya jioni na kuvuta mamia ya wananchi waliokwenda kushuhudia tukio hilo. Mmoja wa mashuhuda wa tukio hilo aliiambia NIPASHE kuwa, mabaki yalikuwa yamehifadhiwa katika mifuko ya plastiki ikiwa imefungwa juu

Na waliofanya hayo saa hizi wako chini ya ulinzi wanaisaidia polisi katika uchunguzi, au hulijui hilo?
 
kwa hiyo wataka kusema mlikuwa matajiri? Na alizipata wapi kama hakuwa mnyonyaji?

Mkuu hatukuwa matajiri sidhani kama wakati ule kulikuwa na tajiri kwa tafsiri halisi, nakumbuka alisema mshahara wake ulikuwa shilingi 300, kwa hiyo swali lililkuwa inakuwaje anakuwa na mshahara wa miezi minne kwa mara moja. Na inakuwaje mke wake aana kitenge.....

Kimsingi ulikuwa ni ujinga ambao anautaja FaizaFoxy, ukiwa na ngombe na mbuzi ilikuwa tatizo, ukiwa na viatu ilikuwa tatizo
 
Na waliofanya hayo saa hizi wako chini ya ulinzi wanaisaidia polisi katika uchunguzi, au hulijui hilo?

Chini ya ulinzi, sasa wewe FaizaFoxy tangu lini kesi ya nyani ilisikilizwa kwa Ngedere? Unajua hata unaposema wezi wa EPA wamekamtwa i real wonder what exactly is it that you are trying to say...

Vijidagaa vilivyosaini makaratsi ndio vinasota, mapapa bado yanatanua na Mercedes mijini, wauaji wa watakuwa huru watakao kamatwa ni wale waliobambikizwa, hii ndio tanzania.
 
Chini ya ulinzi, sasa wewe FaizaFoxy tangu lini kesi ya nyani ilisikilizwa kwa Ngedere? Unajua hata unaposema wezi wa EPA wamekamtwa i real wonder what exactly is it that you are trying to say...

Vijidagaa vilivyosaini makaratsi ndio vinasota, mapapa bado yanatanua na Mercedes mijini, wauaji wa watakuwa huru watakao kamatwa ni wale waliobambikizwa, hii ndio tanzania.

EPA huijui, ni bora ukae kimya.

Wakati wa Nyerere kabla hajang'atuka, BOT iliwaka moto, Wizara ya mambo ya ndani ikawaka moto.

Amir Jamal akapelekwa kuwa balozi Swiss.

What a super coincidence.
 
Chini ya ulinzi, sasa wewe FaizaFoxy tangu lini kesi ya nyani ilisikilizwa kwa Ngedere? Unajua hata unaposema wezi wa EPA wamekamtwa i real wonder what exactly is it that you are trying to say...

Vijidagaa vilivyosaini makaratsi ndio vinasota, mapapa bado yanatanua na Mercedes mijini, wauaji wa watakuwa huru watakao kamatwa ni wale waliobambikizwa, hii ndio tanzania.

You have to have faith na walinda usalama, unafikiri wangekuwa hawafanyi kazi yao nchi ingekalika hii?

So many things are going on ingekuwa hawapo hao saa hizi ingekuwa chaos.
 
You have to have faith na walinda usalama, unafikiri wangekuwa hawafanyi kazi yao nchi ingekalika hii?

So many things are going on ingekuwa hawapo hao saa hizi ingekuwa chaos.

I do have faith in them, but i do not have faith in our politicians. The trouble is our security apparatus is now highly politicized, may be more political than political parties themselves. Even worse, uswahili pia is now encroaching security apparatuses.

kama ukipata furs aya kuongea na profesional wanausalama unaweza kuelewa kwa undani kuwa, we have good guys there, but political decision makers are decimating them.
 
I do have faith in them, but i do not have faith in our politicians. The trouble is our security apparatus is now highly politicized, may be more political than political parties themselves. Even worse, uswahili pia is now encroaching security apparatuses.

kama ukipata furs aya kuongea na profesional wanausalama unaweza kuelewa kwa undani kuwa, we have good guys there, but political decision makers are decimating them.

Unamaanisha nini hapo?

Ulifikiri kwanini kuna vyama vya siasa? washike madaraka ili waendeshe kwa sera zako. Power matters.

Kumbuka kuwa wana siasa ni hao wanaoshika madaraka serikalini pindi wakichaguliwa kwa kura za wananchi, na ukishawapa madaraka inamaanisha kuwa wewe ndio umewapa "power" wawaongoze wana usalama. Katiba yetu inaipa majukumu makubwa serikali iliyopo madarakani, huna ujanja kwa hilo labda ubadili katiba, iipe madaraka ya juu usalama? iipe madaraka ya juu Mahakama? iipe madaraka ya juu Bunge? iipe madaraka ya juu raia?

Damned if you do damned if you don't.

Kumbuka: Power corrupts, absolute power corrupts absolutely.
 
Jumababu,

..asante kwa majibu yako.

..pia nakutakia mafanikio ktk shughuli zako hapo Tandale chaka bovu.

..kuna mahali nimeuliza maswali na wewe umenirudishia maswali. sasa ktk mazingira kama hayo watu wazima wanasema tukubali kutokukubaliana ili mnakasha uweze kusonga mbele.

..Naomba nigusie suala moja kuhusu wapinzani vs CCM. Hiyo stage ulioko wewe mimi nilishaipitia. Hata mimi nilikuwa naogopa, naomba nikunukuu "kuruka mkojo na kukanyaga mavi." Niliipigia CCM wakati wa Mkapa kwa mtizamo kama wako. Muda mchache baada ya Mkapa kuondoka, na kuangalia damage aliyotuachia, na nikikumbuka kuwa nilimpigia kura naweza kusema niliruka "mavi nikatua kwenye uharo."

..Kwani hawa wapinzani tunaowaogopa mbona kule Zanzibar wako kwenye serikali ya umoja wa kitaifa? Je, kuna jambo limeharibika? Sasa kama wamefikia ngazi hiyo, je hawastahili kupewa serikali wakaendesha peke yao ua na vyama vingine?

..Kama nilivyoeleza hapo mwanzo, hiyo stage/hatua uliyoko wewe mimi nilishapita hapo. Nilikuwa nafikira kama zako kwamba wapinzani hawako tayari. Nimeshajaribu CCM na kwa mtizamo wangu, na viwango nilivyojiwekea mimi, nadhani wameshindwa and it is time kujaribu wengine tuone nao watafanya nini.

..CCM bora itapatikana baada ya kuwekwa benchi na mafisadi wote kujiondoa. Bila hilo kutokea sitegemei kama CCM watajirekebisha na kurudi kuwa chama kinachowajali wakulima na wafanyakazi wa taifa letu.

NB:

..Mimi si muumini wa BRN, lakini kwa maoni yangu ni kwamba hatua za maendeleo tunazopiga hazilingani na wingi wa rasilimali tunazozitumia, hali ya amani na utulivu tuliyonayo, pamoja na nchi marafiki na wahisani wanaotupatia misaada na mikopo.

cc ZeMarcopolo, Gs-300

Mkuu JokaKuu...nimekusoma hiyo bayana yako kwa Mwanajamvi mwanziwetu Mkuu Jumababu!

Yaani menifanza nicheke mno...kwa hiyo livyosema yakua ati...."ati umeruka mavi na kukanyaga uharo"!? Duuh! Teeeh! Teeeh! Teeeh!

Pole sana Mkuu...ndo siasa zetu hizo na hao ndo Wanasiasa tulojaaliwa nao...labda tuzidi kuwastahamilia,tu!?...na iko siku "wataamua" kujirekebisha!? Daah! Teeeh! Teeeh!

Ahsanta sana.
 
Unamaanisha nini hapo?

Ulifikiri kwanini kuna vyama vya siasa? washike madaraka ili waendeshe kwa sera zako. Power matters.

Kumbuka kuwa wana siasa ni hao wanaoshika madaraka serikalini pindi wakichaguliwa kwa kura za wananchi, na ukishawapa madaraka inamaanisha kuwa wewe ndio umewapa "power" wawaongoze wana usalama. Katiba yetu inaipa majukumu makubwa serikali iliyopo madarakani, huna ujanja kwa hilo labda ubadili katiba, iipe madaraka ya juu usalama? iipe madaraka ya juu Mahakama? iipe madaraka ya juu Bunge? iipe madaraka ya juu raia?

Damned if you do damned if you don't.

Kumbuka: Power corrupts, absolute power corrupts absolutely.

Mkuu FaizaFoxy...bado nakusoma kwa utuvu ulo mwingi!

Hilo neno alotumia la ati "Uswahili"!?...sidhani kama atamudu kukupa jawaba "stahiki"!?

Na hizo alizoziita "security apparatuses"/structures anakusudia zipi!?...labda pia awe specific,ili pia tunyambue kiundani!?...na kwanini amma kwa sababu/vigezo vipi mpaka huyo Bingolander anadai na kuhitimisha yakua huo "Uswahili" ndo umetamalaki huko!?

Wacha tufanze sabra...kama atarejea kwalo!? Daah!

Tuko pamoja na nakutakia siku njema.

Ahsanta sana.
 
Mkuu JokaKuu...nimekusoma hiyo bayana yako kwa Mwanajamvi mwanziwetu Mkuu Jumababu!

Yaani menifanza nicheke mno...kwa hiyo livyosema yakua ati...."ati umeruka mavi na kukanyaga uharo"!? Duuh! Teeeh! Teeeh! Teeeh!

Pole sana Mkuu...ndo siasa zetu hizo na hao ndo Wanasiasa tulojaaliwa nao...labda tuzidi kuwastahamilia,tu!?...na iko siku "wataamua" kujirekebisha!? Daah! Teeeh! Teeeh!

Ahsanta sana.

..aliyeruka mavi na kukanyaga uharo ni mimi.

..maana nilikuwa na mawazo na mtizamo kama wa Jumababu kuwa bora kuendelea kuchagua CCM.

..unajua Mtwara na Lindi ilikuwa ngome ya CCM. sasa hebu angalia walivyotandikwa pale walipodai haki yao.

..sikiliza kauli za kifedhuli alizotoa waziri wa nishati na madini. eti anadai gesi imepatikana bahari kuu kwa hivyo wananchi wale masikini wa Mtwara na Lindi hawana haki ya kuhoji jambo lolote.

..huko CCM mimi sioni mwenye afadhali. lakini hata yule unayedhani ana afadhali akishajiunga nao anageuka fedhuli na fisadi.

cc Jumababu
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom