Nakubaliana na wewe MwanaDiwani, SISIEM ina hazina kubwa sana ya viongozi .................... so far walioonyesha nia pamoja na onyo wako at least 7 (January, Ngereja, Sumaye, Sita, Membe, Wasira, Lowasa) ukichanganya na wale wa siku za nyuma kuanzia 1995, Mama Maghembe, Mzee Malecela, Mh. Lowasa, Prof. Mwandosya, Dr. Magufuri, Dr. Mwakyembe, Salim ................. list inaweza kufikia hata mia ikiorodheshwa. Bongo tuna hazina kubwa ya viongozi kuliko USA au China. US sometimes Democrat au Republican huwa hata hawafiki 10 kwa kila chama. SISIEM safari hii lazima tuset record kwenye Guinness book of records!! Namshauri Mangula aongeze dau la kuchukua fomu ili kutunisha mfuko wa chama!! Wewe Mzee Mwanakijiji huoni hiyo hazina ya viongozi SISIEM!!
Ccm hawana lolote wote wezi :thamani ya pesa inashuka kila kukicha
2/sifa ya pili ni kuagiza mali ghafi zote toka uchina htuna viwand
3/ imedumaza akili za watanzania mf kama wewe badala ya ktzama mbdala Wa ccm kwkuwa hawafai unawaz msaada ofa toka ccm
4/hospitali kuna manesi waliofeli form four na hakuna madawa
5/-wanakusanya tirioni 15 ,za maendeleo ni tirioni moja zilizobaki ni za mandazi na vitumbua
6/-kuua,kuteka na green guard Yao hiyo nykti za chaguzi
Last edited by a moderator: