VUTA-NKUVUTE
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 6,135
- 17,802
Tarehe kama ya leo mwaka jana, 25/10/2015, uchaguzi mkuu wa Rais, Wabunge na Madiwani ulifanyika. Ilikuwa ndiyo tarehe hasa ya kufanya maamuzi kwa maana ya kupiga kura.
Je, kwa Rais, Mbunge au Diwani uliyemchagua au aliyechaguliwa, unajuta au hujuti? Kwanini unajuta au hujuti?
Mzee Tupatupa wa Lumumba, Dar es Salaam
Je, kwa Rais, Mbunge au Diwani uliyemchagua au aliyechaguliwa, unajuta au hujuti? Kwanini unajuta au hujuti?
Mzee Tupatupa wa Lumumba, Dar es Salaam