Jidu La Mabambasi
JF-Expert Member
- Oct 20, 2014
- 15,351
- 24,246
Najua Dr Magufuli ni muumini mzuri tu wa dini.
Biblia ina kanuni(sheria )kumi za Musa, wengi tunazishindwa hasa ile sheria ya sita!!!
Lakin katika sheria zote kuna sheria kuu mbili.
1. Mpende Mungu wako kwa uwezo wako wote na akili zako zote
2. Mpende jirani yako kama nafsi yako
Sheria ya kwanza katika hizi mbili haina utata, ingawaje kuna wanao amini katika ushirikina. Roho Mtakatifu anawafuatilia.
Hili la pili ndo gumu. Mtendee mtu(jirani yako) kama utakavyojitendea nafsi yako.
Sasa nauliza, hivi mtuhumiwa wa wizi, ufisadi,uhujumu si haya ni makosa dhahiri?
Na adhabu zake ziko wazi.
Tumeona kesi ya mtu mmoja dhidi ya Waziri mwandamizi, akituhumiwa kutaka kumhonga.
Kesi ikatupiliwa mbali kwa vile ilikuwa ya hisia na hakuna ushahidi wa kutoshelezea.
Kuna watu kadhaa wamewekwa ndani(Remand Prison), wengine kwa miaka inaelekea mitatu.
Tunatenda haki gani kama hakuna ushahidi, bali hisia?
Nina uhakika watu hawa wanapiga magoti kila usiku wakienda kulala, kumwomba Mungu aziguse nafsi zilizowaweka huko Rumande.
Tuelewane hapa, mimi siwatetei mafisadi, wezi au wahujumu.
The best political move ni kutaifisha mali ambazo wahusika ambazo wamezipata kwa matendo yao yenye kutilia mashaka.
Kuwaweka watu ndani kwa hisia, kukomesha, kulipiza kisasi au kwa kuonea tu, hakika ni dhambi juu ya uso wa dunia na mbingu.
Tulifikirie kwa makini hili tunapomaliza mwaka 2018.
Mungu ibariki Tanzania.
Biblia ina kanuni(sheria )kumi za Musa, wengi tunazishindwa hasa ile sheria ya sita!!!
Lakin katika sheria zote kuna sheria kuu mbili.
1. Mpende Mungu wako kwa uwezo wako wote na akili zako zote
2. Mpende jirani yako kama nafsi yako
Sheria ya kwanza katika hizi mbili haina utata, ingawaje kuna wanao amini katika ushirikina. Roho Mtakatifu anawafuatilia.
Hili la pili ndo gumu. Mtendee mtu(jirani yako) kama utakavyojitendea nafsi yako.
Sasa nauliza, hivi mtuhumiwa wa wizi, ufisadi,uhujumu si haya ni makosa dhahiri?
Na adhabu zake ziko wazi.
Tumeona kesi ya mtu mmoja dhidi ya Waziri mwandamizi, akituhumiwa kutaka kumhonga.
Kesi ikatupiliwa mbali kwa vile ilikuwa ya hisia na hakuna ushahidi wa kutoshelezea.
Kuna watu kadhaa wamewekwa ndani(Remand Prison), wengine kwa miaka inaelekea mitatu.
Tunatenda haki gani kama hakuna ushahidi, bali hisia?
Nina uhakika watu hawa wanapiga magoti kila usiku wakienda kulala, kumwomba Mungu aziguse nafsi zilizowaweka huko Rumande.
Tuelewane hapa, mimi siwatetei mafisadi, wezi au wahujumu.
The best political move ni kutaifisha mali ambazo wahusika ambazo wamezipata kwa matendo yao yenye kutilia mashaka.
Kuwaweka watu ndani kwa hisia, kukomesha, kulipiza kisasi au kwa kuonea tu, hakika ni dhambi juu ya uso wa dunia na mbingu.
Tulifikirie kwa makini hili tunapomaliza mwaka 2018.
Mungu ibariki Tanzania.