Swali la kizushi

Swali la kizushi

tz1

JF-Expert Member
Joined
Mar 19, 2011
Posts
2,121
Reaction score
536
Ningependa kujua kwanini sisi waafrika tukilewa sana,tukiwa njiani kurudi nyumbani tunaimba njia yote.Lakini
mzungu akilewa ni anatukana na kutafuta ugomvi njia nzima?
 
Mwafrika anaimba kwa kuwa pombe ni sehemu ya starehe (burudiko la moyo) lakini mzugu atukana kwa kuwa anapoamua kunywa ni mara chache hufanya kama starehe zaidi huwa ni kupunguza msongo wa mawazo alionao kichwani, na motokeo ya yeast ndo hayo.
 
Nathani kuna ukweli hapo au labda ni moja ya sababu
 
labda wanywaji wa pombe za kienyeji
 
Nathani kuna ukweli hapo au labda ni moja ya sababu
zhangwei3.jpg

zhangwei4.jpg

zhangwei5.jpg

zhangwei2.jpg
 
ni mtazamo wako mkuu/Maeneo unayoishi watu wengi wako hivyo ila nadhani si wote
 
waafrika tuliowengi tunakunywa pombe za kienyeji kama vile lubisi, mbege, mnazi na konyagi za matambala machafu kwa hiyo inakuwa burudani
 
Konyagi za matambala ndo nini mkuu?
 
Ahahahaaaa... Nimependa sana haya Majibu... Ngoja Nilewe kwanza...
 
Ahahahaaaa... Nimependa sana haya Majibu... Ngoja Nilewe kwanza...
Ukilewa pombe ya kienyeji utatuimbia mwimbo gani mkuu?
Ukinywa safari angalia usitafute ugomvi na invisible utapata ban
 
hata wazungu pia huwa wanaimba, na hata waswahili pia hutukana sema wao huzidisha na kingledha tu
 
Mi naomba tufanye majaribio leo baada ya kazi. Sema wapi tukutane wote nitakuja na wazungu wanne pia.
 
Mimi nikilewa natamani ku do
 
Mi naomba tufanye majaribio leo baada ya kazi. Sema wapi tukutane wote nitakuja na wazungu wanne pia.

Kama wa kike poa,kama wanaume hapana wanaweza wakawa macameron.
 
Sisi wazungu kwanza tunakunywa kwa hela zetu tofauti na nyie waafrika. Pili tuna studio majumbani kwetu kwahiyo tunaimba studio. Tatu tunatafuta ugomvi sababu tukishalewa ndio tunakuwa na nguvu sio nyie waafrika mkishalewa mnalegea hadi kuvua viatu mnashindwa. Ahsante kwa maswali.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom