Nakubali na ninakataa vilevile! Mbona kwenye soka hakuna aliyempiku PELE? watu wanahisi labda messi lakini messi hawezi kumfikia hata kidogo!Unajua Marilyn Monroe alivo kufa watu waliuliza hilo swali? Na Elvis prestley, na Bob Marley, na Tupac etc. Inategemea wewe ulikua generation gani na mziki upi ulikua unakupa furaha zaidi.Nina mdogo wangu ana myaka 21 hajui hata mwimbo mmoja wa MJ. Ila anajua several za Bob Marley. Kwake yeye MJ hakua iconic kama unavo muona yeye.Kumbuka ukiwa superstar kuna part 2 ya maisha yako watu wanafatilia: talent yako (kipaji) na life style yako (Udaku). Ukibalance hivyo viwili sawa sawa ndio unakua superstar. Cheki Tracy Chapman. Mama ana kipaji kweli ila lifestyle yake ni boring kwa baadhi ya fans. Sasa angalia mtu kama wema. talent yake haionekani ila yupo kila siku katika gazeti za udaku. watu kama hao niliwataja ni watu walikua na talent kubwa sana na pia namna yao ya kuishi ilikua very interesting na inadraw attention.Kwa namna hiyo, LAZIMA kutakua na watu watakuja na wapate sifa kama ya MJ ila kama wewe una penda pop watakuja na kuondoka bila wewe kuwaona.
Hivi huyu alifanya nini zaidi ya ku-act a few movies as a supporting actress na kuwa na some gossip labda alitembea na president kennedyUnajua Marilyn Monroe
Nakubali na ninakataa vilevile! Mbona kwenye soka hakuna aliyempiku PELE? watu wanahisi labda messi lakini messi hawezi kumfikia hata kidogo!
Hivi huyu alifanya nini zaidi ya ku-act a few movies as a supporting actress na kuwa na some gossip labda alitembea na president kennedy