Mlenge
R I P
- Oct 31, 2006
- 2,125
- 2,291
Yaani tumezaliwa tunazungumza Kiswahili lugha ya kwanza (wengine wetu). Kila siku tunazungumza Kiswahili. Tunazungumza sana Kiswahili mpaka tunajulikana pande ile kuwa sisi ni ile mitu iko na Kiswahili-mrefu. Hatuna umahiri wa lugha zingine kama tulio nao kwa Kiswahili.
Kwa nini basi tunafeli Kiswahili? Nilitegemea watu wengi wangekuwa wanapata "A" za Kiswahili kwenye mitihani ya kidato cha nne kuliko wanaopata "A" za hisabati (Basic Mathematics.) Hata wapo wale wanaopata Divisheni Wani ya pointi saba, unakuta hawana "A" za Kiswahili.
Kulikoni?
Kwa nini basi tunafeli Kiswahili? Nilitegemea watu wengi wangekuwa wanapata "A" za Kiswahili kwenye mitihani ya kidato cha nne kuliko wanaopata "A" za hisabati (Basic Mathematics.) Hata wapo wale wanaopata Divisheni Wani ya pointi saba, unakuta hawana "A" za Kiswahili.
Kulikoni?