Kagemro
JF-Expert Member
- Jan 11, 2010
- 1,433
- 633
Swali la kizushi siku zote linakuwa linaukweli ndani yake linajipambanua kutoka uwongo na kujibiwa kuupata ukweli. Nadhani sisi sote tunataka kuijenga Tanzania moja na haina maana kugombea fito au sio mkuu.........
Nenda zako hatuko hapa kusoma uzushi bali muelekeo wa Tanzania tunayoitaka.