Hi ladies and gentlemen. Siku za hivi karibuni, mikasa ya usaliti na kukosa uaminifu kwenye mapenzi imekua inaongezeka kwa kasi. Sababu zipo nyingi na thread zenye hizo sababu naamini zilishaanzishwa mara nyingi humu MMU. Ninachojiuliza, kati ya upendo (kupenda) na tamaa (kutamani) kipi kina nguvu. (Of the two which is more powerful and leads the other).
Your coments plz.
Your coments plz.