Swali la kichokozi: Rais ataendelea kupiga simu Clouds?

Swali la kichokozi: Rais ataendelea kupiga simu Clouds?

haha haa,mimi nilifikiri RAIS atasema anapenda vipindi kama THIS WEEK IN PERSPECTIVE na STRAIGHT TALK AFRICA cha VOA kumbe loh!"napenda SHILAWADU"🙁😱

Hapo labda kuwe na mkalimani pembeni vinginevyo mwanzo mpaka mwisho wa kipindi uncle itakua kaangalia picha hana tofauti na kiziwi kwenye ivyo vipindi.
 
Muda mrefu watanzania tumekuwa tukijiuliza kwanini Rais anapenda kusifia clouds kuliko TBC channel ya taifa. Na mara nyingi amekuwa akipiga simu za kuwapongeza, nachojiuliza bado Rais anaiona clouds kama kituo bora cha matangazo kuliko TBC, na je ataendelea kupiga simu za kuwapongeza?
Tusubiri movie season two.
 
Muda mrefu watanzania tumekuwa tukijiuliza kwanini Rais anapenda kusifia clouds kuliko TBC channel ya taifa. Na mara nyingi amekuwa akipiga simu za kuwapongeza, nachojiuliza bado Rais anaiona clouds kama kituo bora cha matangazo kuliko TBC, na je ataendelea kupiga simu za kuwapongeza?
ATAPIGA SIMU TBC SASA
TBC WATAKUWA WANACHEKELEA TU
 
Muda mrefu watanzania tumekuwa tukijiuliza kwanini Rais anapenda kusifia clouds kuliko TBC channel ya taifa. Na mara nyingi amekuwa akipiga simu za kuwapongeza, nachojiuliza bado Rais anaiona clouds kama kituo bora cha matangazo kuliko TBC, na je ataendelea kupiga simu za kuwapongeza?

Atapiga hata RADIO IMANI ( jamn co mm niloandka ni mdogo angu) kwan mie nilikuwa napitaa tuuu
 
Tangu hiki kipindi kianzishwe sijawahi kukiangalia, niliposikia Rais anakiangalia nikapata imani litakuwa bonge la kipindi
Mi nilikiangalia siku moja, kwa umri wangu na majukumu yangu ya shughuli za shambani sikuona lolote la maana. Ndiyo maana Mh. Rais amesema tusipende mambo madomadogo tuwe tunajadili issues na siyo personalities za watu, kwani kile kipindi ni umbeyaumbeya tu na udaku, nani kazini na huyu, nani kaachwa, mambo ambayo si ya kuyapa nafasi kwenye ubongo kama una vitu vingine vya kufikiri
 
Mi nilikiangalia siku moja, kwa umri wangu na majukumu yangu ya shughuli za shambani sikuona lolote la maana. Ndiyo maana Mh. Rais amesema tusipende mambo madomadogo tuwe tunajadili issues na siyo personalities za watu, kwani kile kipindi ni umbeyaumbeya tu na udaku, nani kazini na huyu, nani kaachwa, mambo ambayo si ya kuyapa nafasi kwenye ubongo kama una vitu vingine vya kufikiri
 
Eti mkuu wa nchi anasifia shilawadu umbeya

Afu anamwambia makonda apige kazi asisikilize umbeya wa kwenye mitandao

This is so funny

Kama rsis tunaye, ila siamin km tuna RAIS
 
hawez piga wakati wanamchafua MSUKUMA wake na mda simurefu hata lugha ya Taifa itakuwa kizilankende.
 
Back
Top Bottom