sinafungu
JF-Expert Member
- Feb 13, 2010
- 1,527
- 868
Je,ataendelea kuwapigia simu kuwaambia habari za kusoma???Muda mrefu watanzania tumekuwa tukijiuliza kwanini Rais anapenda kusifia clouds kuliko TBC channel ya taifa. Na mara nyingi amekuwa akipiga simu za kuwapongeza, nachojiuliza bado Rais anaiona clouds kama kituo bora cha matangazo kuliko TBC, na je ataendelea kupiga simu za kuwapongeza?
Aiseeee,bwana Kamoga Hudson alicheza na nyota vizuri,uteuzi usigewezekana kama issue hii ingetokea kabla hajateuliwa!Muda mrefu watanzania tumekuwa tukijiuliza kwanini Rais anapenda kusifia clouds kuliko TBC channel ya taifa. Na mara nyingi amekuwa akipiga simu za kuwapongeza, nachojiuliza bado Rais anaiona clouds kama kituo bora cha matangazo kuliko TBC, na je ataendelea kupiga simu za kuwapongeza?
"Ole wangu wasipopokea simu yangu nawavamia mimi mwenyewe, simtumi konda tena"Hakuna kupokea.....
Kipindi ambacho gigy money anachorwa tattoo matakoni,eti ye anaangalia na kudai anakipenda sanaMwenzio niliposikia Rais anaangalia hicho kipindi nilimtafakari kama mara mia hivi sikumuelewa
"Mtoto" wake alimuelekeza aseme vile ili watu waangalie kwani alishapanga kumchafua GwajimaMwenzio niliposikia Rais anaangalia hicho kipindi nilimtafakari kama mara mia hivi sikumuelewa
ahaa...kumbe makonda alitaka ile vidio irushwe ili mkulu aione coz anaangaliaga kipindi ee....mmm hawa watu wataliangamiza taifaTangu hiki kipindi kianzishwe sijawahi kukiangalia, niliposikia Rais anakiangalia nikapata imani litakuwa bonge la kipindi
nafikiri sasahivi umemuelewa.Mwenzio niliposikia Rais anaangalia hicho kipindi nilimtafakari kama mara mia hivi sikumuelewa