Swali la kichokozi: Rais ataendelea kupiga simu Clouds?

Swali la kichokozi: Rais ataendelea kupiga simu Clouds?

Sasa nitakuwa na tune pale ili niwe miongoni wa mwanzo kumsikiliza akipiga simu kwa mara nyingine tena
 
Muda mrefu watanzania tumekuwa tukijiuliza kwanini Rais anapenda kusifia clouds kuliko TBC channel ya taifa. Na mara nyingi amekuwa akipiga simu za kuwapongeza, nachojiuliza bado Rais anaiona clouds kama kituo bora cha matangazo kuliko TBC, na je ataendelea kupiga simu za kuwapongeza?


Inawezekana clouds ikafilisiwa muda simrefu
 
Muda mrefu watanzania tumekuwa tukijiuliza kwanini Rais anapenda kusifia clouds kuliko TBC channel ya taifa. Na mara nyingi amekuwa akipiga simu za kuwapongeza, nachojiuliza bado Rais anaiona clouds kama kituo bora cha matangazo kuliko TBC, na je ataendelea kupiga simu za kuwapongeza?
hapana atakachofanya ni kuwaanzishia bifu atafute kosa lolote ili awafungie trust me alipo ameshapekenyua kila kona anatafuta mahali pa kuwakomesha ndo akili yake ilivyo
 
Hawezi kamwe....tegemea vijembe zaidi kutoka kwake kwenda clouds.
 
Muda mrefu watanzania tumekuwa tukijiuliza kwanini Rais anapenda kusifia clouds kuliko TBC channel ya taifa. Na mara nyingi amekuwa akipiga simu za kuwapongeza, nachojiuliza bado Rais anaiona clouds kama kituo bora cha matangazo kuliko TBC, na je ataendelea kupiga simu za kuwapongeza?
Hatarudia tena kufanya hivyo... Wameshanyea kambi

Sent from my INFINIX-X551 using JamiiForums mobile app
 
Mwenzio niliposikia Rais anaangalia hicho kipindi nilimtafakari kama mara mia hivi sikumuelewa
Nitajitahidi kutafuta clip zake mtandaoni nione maudhuo yake
 
Wa Mama hawaaminiki, huenda Daudi ni Mtoto wa John na Mzee Albert Ba.shite aliuziwa Mbuzi kwny gunia
 
Back
Top Bottom