Mwambie kabisa TaiJike kuwa hata wewe uko mbioni kuwa mke wangu ifikapo Julai mwaka huu. Halafu eti niamshwe na mkojo? Labda anamaanisha ule mzito lol
Bishanga tafuta wa kukuamsha The secretary ameshashikwa.
:hand::hand::hand:........."Hodi" ya chooni haiitikiwi "karibu"................:israel::israel::israel:Mwambie kabisa TaiJike kuwa hata wewe uko mbioni kuwa mke wangu ifikapo Julai mwaka huu. Halafu eti niamshwe na mkojo? Labda anamaanisha ule mzito lol
Kumbe na ujanja wote bado anaamshwa na mkojo pole yake.
kama kanyamaza keshakubali
kukubali? halafu nikaishi mabwe pande
Jibu hili hapa chini.:hand::hand::hand:........."Hodi" ya chooni haiitikiwi "karibu"................:israel::israel::israel:
Asprin ukimya wa Taijike unasapoti signature yako?
oaoaoaoaoaoaoaoaoaoaoaoaoa:tongue::eyebrows:Wakongwe tunajuana hakuna laana sanaa. Mie na Asprin tushakubaliana, hakuna wa kutuzuia ,haya, watoto mkalale.