Achana na vitoto huko vitakupaka shombo. Tulia na wazee wenye mauzoefu yetu raha ujipe mwenyewe lol.
We umesema yako yatakuwa macho, basi usijali mi changu kitakuwa kichwa...:eyebrows:
Hahahaha chenye permanent kipara na jicho moja si ndo kizuri au?............Tafazali sana...:"Don't blame the boss. He has enough problems"LOL...Kichwa kipi hicho cha chini au cha juu?
Khaaa......!:juggle:Mi ntashika mguu siku hiyo sawa?
Hahahaha chenye permanent kipara na jicho moja si ndo kizuri au?............Tafazali sana...:"Don't blame the boss. He has enough problems"
hahahaha........kama ni hicho tayari ninacho chenye urimbo wa Level na sitaki afe kwa peresha, nenda kwa The secretary anakusubiri.
Heeeeee.......we kila mkoa umeandaa boxer ya kukojolea!
Nasikitika unanipiga kibuti hadharani. Afu unanipigia debe kwa katibu muhtasi ambaye hana time na mimi kabisa. Naye kanipiga chini pia, si umemsoma hapo chini?. Hebu nfanyie mpango kwa Yummy basi, kama kweli unanipenda kiviiiiiile...hahahaha........kama ni hicho tayari ninacho chenye urimbo wa Level na sitaki afe kwa peresha, nenda kwa The secretary anakusubiri.
:A S embarassed::A S embarassed::A S embarassed:We nenda na vibabu vyako nina alergy navyo kanishindwa BISHANGA IJE KUWA HUYU
oaoa:eyebrows::eyebrows:
Nasikitika unanipiga kibuti hadharani. Afu unanipigia debe kwa katibu muhtasi ambaye hana time na mimi kabisa. Naye kanipiga chini pia, si umemsoma hapo chini?. Hebu nfanyie mpango kwa Yummy basi, kama kweli unanipenda kiviiiiiile...
:A S embarassed::A S embarassed::A S embarassed:
oaoa:eyebrows::eyebrows: