Swali kwenu ninyi mlio oa na wasio oa.

mbalu

JF-Expert Member
May 18, 2012
550
242
Jana nikiwa ktk pitapita zangu nililazimika kuingia ktk mgahawa fulani ili nisumbiri jamaa yangu, ambapo nilikaa meza jirani na vijana waliokuwa wakijadiliana vitu mbalimbali, lakini ktk mada iliyonivutia ni hii, eti mwanaume alieoa huamshwa alfajiri na mkewe kwa kupapaswa, lakini bachala yeye huamshwa na mkojo. Nilishindwa kuendelea kusubiri mwisho wa michango yao kwani niliondoka baada ya mwenyeji kuja nichukua na kuhama eneo hilo, je kuna ukweli wowote hapo?
 
Inategemea nimelala na nani kati ya wake zangu wawili na nyumba ndogo tatu. Kama nimelala peke yangu naamshwa na alarm ya simu. Ushanifaham?

Na hapa unazungumzia mkojo upi?

Mkojo mrefu au wa njano.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom