Ndo ukaamua ufukue makaburi? Sijapentaaaaaš¤£Nataka kuchepuka, njooni mnishauri
Habari za mchana. Mrejee kichwa cha habari tajwa, kuna mkaka hapa mtaani nimemuelewa, na yeye amenielewa ila yeye ni mume wa mtu na mimi ni mke wa mtu. Jamani nipo kwenye ndoa huu mwaka wa 8 sijawahi kuchepuka, ila naona sasa shetani anaelekea kunizidi nguvu. Hebu nishaurini wale mlowahi...www.jamiiforums.com
mkuu ulilamba asali sasa umechonga mzinga kabisa unaendeleza libeneke