sepema
JF-Expert Member
- Jun 13, 2019
- 591
- 1,000
Habari zenu
Kumekuwa na mijadala mingi kwenye jamii kuhusu 50 kwa50 kwenye swala la kuchepuka Kati ya mume na mke.
Wengi wanaotetea hoja hii Wanadai ikiwa mwanaume hajatulia kwenye ndoa haina faida kwa mwanamke kutulia, eti bora nayeye akajipatie lijamaa nje. Binafsi naamini kucheat ukiwa na ndoa ama mpenzi sio jambo zuri kwa pande zote(me &ke).
Sasa nije kwenye swali; Ikiwa wewe ni mwanamke,utasijikiaje siku ukigundua wifi yako anamcheat Kaka yako? Hapa haijalishi Kaka yako katulia au naye anachepuka.
Ikiwa wewe ni mwanaume, utajisikiaje utakapo hisi shemeji yako (mke wa bro)anatoka na jamaa/majamaa wengine?
Hapa pia haijalishi Kaka yako katulia au anamichepuko.
Maoni yangu;Pamoja nakwamba nimekiri wazi kuwa vitendo vya kucheat sio vizuri Ila nina mtazamo wangu hapa.
Ni bora zaidi mwanaume kuchepuka kuliko mwanamke. Ninaamini hata Kama wewe ni mwanamke hutajisikia vizuri ukigundua wifi yako anamichepuko.Wala huwezi kumshauri wifi yako eti awe makini na michepuko yake ili kaka asijue.
Ukija upande wa wanaume,nirahisi Sana mwanaume kuwa best wa shemeji yake (mume wa dada)hata Kama anajua jamaa ana mcheat dada yake.Atakachoweza kushauri nikwamba jamaa awe makini kwenye michepuko yake ili dada asijue na kumuumiza.
Mwisho; Kwenye jamii zetu mwanamke anayechepuka anaonekana mama mbaya kwa watoto na mtovu mkubwa wa maadili kuliko mwanaume anavyochukuliwa.
Wasalaam!
Kumekuwa na mijadala mingi kwenye jamii kuhusu 50 kwa50 kwenye swala la kuchepuka Kati ya mume na mke.
Wengi wanaotetea hoja hii Wanadai ikiwa mwanaume hajatulia kwenye ndoa haina faida kwa mwanamke kutulia, eti bora nayeye akajipatie lijamaa nje. Binafsi naamini kucheat ukiwa na ndoa ama mpenzi sio jambo zuri kwa pande zote(me &ke).
Sasa nije kwenye swali; Ikiwa wewe ni mwanamke,utasijikiaje siku ukigundua wifi yako anamcheat Kaka yako? Hapa haijalishi Kaka yako katulia au naye anachepuka.
Ikiwa wewe ni mwanaume, utajisikiaje utakapo hisi shemeji yako (mke wa bro)anatoka na jamaa/majamaa wengine?
Hapa pia haijalishi Kaka yako katulia au anamichepuko.
Maoni yangu;Pamoja nakwamba nimekiri wazi kuwa vitendo vya kucheat sio vizuri Ila nina mtazamo wangu hapa.
Ni bora zaidi mwanaume kuchepuka kuliko mwanamke. Ninaamini hata Kama wewe ni mwanamke hutajisikia vizuri ukigundua wifi yako anamichepuko.Wala huwezi kumshauri wifi yako eti awe makini na michepuko yake ili kaka asijue.
Ukija upande wa wanaume,nirahisi Sana mwanaume kuwa best wa shemeji yake (mume wa dada)hata Kama anajua jamaa ana mcheat dada yake.Atakachoweza kushauri nikwamba jamaa awe makini kwenye michepuko yake ili dada asijue na kumuumiza.
Mwisho; Kwenye jamii zetu mwanamke anayechepuka anaonekana mama mbaya kwa watoto na mtovu mkubwa wa maadili kuliko mwanaume anavyochukuliwa.
Wasalaam!