Swali: Kwanini Tundu Lissu Yuko gerezani?

Swali: Kwanini Tundu Lissu Yuko gerezani?

Rabbon

JF-Expert Member
Joined
Apr 16, 2022
Posts
25,937
Reaction score
41,104
Salaam!

Ikiwa kuna gen Z walioshiriki maandamano na kushtakiwa kwa kesi dhaifu ,batili ya uhaini wako uraiani,

Nini kinamshikilia Tundu lissu gerezani Hadi sasa ambaye hata hakuwa uraiani maandamano yalipotokea?

Hakuna kesi, hakuna ushahidi, hakuna shahidi lakini bado anashikiliwa.

Ninyi GEN Z, mnajua ni kwanini hasa Tundu lissu Yuko gerezani?

Tundu Lissu amekosea wapi Hadi asahaulike gerezani?

Nawasilisha!
 
Nani anajali kuhusu Hali yake kiafya gerezani ukizingatia ni mhanga wa shambulio la risasi 17?
 
Yule mnyampaa ndiye kafara ya mabadiliko ya taifa hili. Pia wanamuogopa kwamba wakmtoa muda huu raia wakiwa na hasira na akalianzsha itawaletea shda kina gayizi na wuu a yuu kwaiyo wamebanwa na kimba la ugari wa mtama kumtoa ntinti kumuweka ndani ntitnti nadhan wanaumiza vichwa. Ila kama mo29 isngetokea bs angekuwa nje baada tu ya uchaguzi..wangempuuza kbs ila saivi wameshajua ana nguvu sn wanamuogopa.
 
Yule mnyampaa ndiye kafara ya mabadiliko ya taifa hili. Pia wanamuogopa kwamba wakmtoa muda huu raia wakiwa na hasira na akalianzsha itawaletea shda kina gayizi na wuu a yuu kwaiyo wamebanwa na kimba la ugari wa mtama kumtoa ntinti kumuweka ndani ntitnti nadhan wanaumiza vichwa. Ila kama mo29 isngetokea bs angekuwa nje baada tu ya uchaguzi..wangempuuza kbs ila saivi wameshajua ana nguvu sn wanamuogopa.
Gen Z hawakupokea amri Toka kwa Lissu kuandamana.

Sasa tatizo nini?
 
Yule mnyampaa ndiye kafara ya mabadiliko ya taifa hili. Pia wanamuogopa kwamba wakmtoa muda huu raia wakiwa na hasira na akalianzsha itawaletea shda kina gayizi na wuu a yuu kwaiyo wamebanwa na kimba la ugari wa mtama kumtoa ntinti kumuweka ndani ntitnti nadhan wanaumiza vichwa. Ila kama mo29 isngetokea bs angekuwa nje baada tu ya uchaguzi..wangempuuza kbs ila saivi wameshajua ana nguvu sn wanamuogopa.
Pia unajaribu kusena, Maandamano ya Oct 29 ndo yamemponza Lissu kuendelea kuwejwa gerezani?

Hili sitaki kuamini.
 
Lissu yuko gerezani kwa maelekezo ya samuya, anamuogopa balaa...kwa akili yake kaona salama yake ni Lissu abaki sero!.
Kumbe ni Bora tupigwe ban kimataifa, pesa yetu iwe kama ZIM Dollar kuliko kumwacha huru Lissu mwenye haki?

Inafikirisha!
 
Gen Z hawakupokea amri Toka kwa Lissu kuandamana.

Sasa tatizo nini?
ni kweli kbs ila wao wanaunganisha dots za no reforms no election wanaona kbs pengne kujiamin kwa lissu kpnd anafanya mikutano ya no reforms no election matokeo yake ni mo29 si unaona walimkamata na heche mpk sasa wanahisi chadema ndo wahuska wa mo29 maana madai ya chadema ni sawa na madai ya gen z wa mo29. Bt ni kwmb chadema knaenda kuwa chama tishio sn kuliko hata hapo awali knaenda kuwa na nguvu sana na ccm ndo imefka mwsho kbs hakuna chama tn zaid kuna majitu yanatumia polis na tiss kuingia madarakan na si kura za watanganyika.
 
Back
Top Bottom