Thanda
JF-Expert Member
- Apr 6, 2012
- 1,915
- 596
Ile meli ilyokuwa imebeba gari langu toka Nagoya ,Japan iliitwa Monrovian Queen, ilitia nanga Mombasa
Mimi binafsi hadi leo sijawahi jua sababu za hiyo meli kuitwa hivyo.
Mimi binafsi hadi leo sijawahi jua sababu za hiyo meli kuitwa hivyo.
Meli hupewa majina ya kike eg MV Francesca, MV Azizzer, MV Juliana, MV Mariana etc
Aidha, hata katika lugha ya kiingereza huwa prefixed as "she".
Naomba kujulishwa sababu ?
Zawadi ya Mwaka Mpya itatolewa kwa atakayejibu kwa ufasaha.