Kwa heshima na Taadhima, naomba kukuuliza Mkuu wangu. Suala la kuhamia Dodoma mliliamua baada ya kufanya utafiti wa kitaalamu au mliamua tu kisiasa? Kwa sababu kwa hali ilivyo sasa ni dhahiri kwamba limekwama.
Pia nakuomba mkuu wangu, uwaweke wananchi unaowaongoza wazi ili wajue. Kama je, mmeahirisha au mmegairi kabisa? Mkuu hakuna kitu kizuri Kama sisi wananchi wako tunapoamka tujue tunaelekea wapi. Sasa ukikaa kimya namna hii, wananchi hawatajua waelekee wapi. Kumbuka ili Serikali istawi inategemea wananchi walipe kodi.
Kuna watu mpaka sasa hivi wameshaamua kuwekeza Dodoma lakini kila Siku wasi wasi wao unaongezeka na hii inatokana na jinsi hili zoezi la kuhamia linavyosua sua. Sasa Mkuu ebu Nikuombe. Kwanini usiitishe vyombo vya habari na ukawaambia wananchi wako wakajua Ukweli ili na wao wajipange vinginevyo?
Pia nakuomba mkuu wangu, uwaweke wananchi unaowaongoza wazi ili wajue. Kama je, mmeahirisha au mmegairi kabisa? Mkuu hakuna kitu kizuri Kama sisi wananchi wako tunapoamka tujue tunaelekea wapi. Sasa ukikaa kimya namna hii, wananchi hawatajua waelekee wapi. Kumbuka ili Serikali istawi inategemea wananchi walipe kodi.
Kuna watu mpaka sasa hivi wameshaamua kuwekeza Dodoma lakini kila Siku wasi wasi wao unaongezeka na hii inatokana na jinsi hili zoezi la kuhamia linavyosua sua. Sasa Mkuu ebu Nikuombe. Kwanini usiitishe vyombo vya habari na ukawaambia wananchi wako wakajua Ukweli ili na wao wajipange vinginevyo?