Swali kwa wanawake wote hapa...

Swali kwa wanawake wote hapa...

Kinacho sumbua wanaume wa hivyo ni wivu hakuna zaidi!
Ushahidi uko wapi?
Me kuna jamaa yangu hataki kusikia mkewe akimwambia habari ya kazi, chaajabu mwanamke ana bahati na kazi mara kadhaa amekuwa akijaribu kutuma maombi anaitwa kwenda kuanza kazi kivumbi na jasho ni pale jamaa anapo ambiwa na mkewe hizo habari za kazi...majibu yake ni yale yale ya unakosa nini!!
Mbona hujatuambia kuwa huyo jamaa kinachomfanya amzuie mkewe kufanya kazi ni wivu?
Halafu nani kakuambia kuwa huyo jamaa yako ni sample ya wanaume wote duniani?
Kinacho nipa burudani zaidi kwa jaama ni kwamba cm ya mke wake kaiwekea passwd sehemu ya massage halafu mke wake hazijui kwa hiyo jamaa ndo huwa anaifungua anazisoma kwanza anapo hitaji!...Nikadungua huyo anaangaishwa na wivu!
Huyo sio sample ya kila mwanaume duniani!
 
Asipoumwa??

Huo ni mfano..lakini pia ajiulize alidhani mim nitaumwa na kufikia hali ile..?

Kwahiyo kama kuna uwezekano wa kila mtu kufanya kazi ni bora wakafanya wote mana hatujui ya mbeleni..
 
Naposema kupoteza muda kwa hapo nilimaanisha kitu cha kunikeep busy na kuchemsha akili.

Unazijua hatua na umuhimu wa malezi ya watoto??
 
Nilipoiona tu commet yako kuna kiungo kilistuka kidogo
Hebu bashiri ni kiungo gani hicho??


Back to tpic
Kwanini kumtegemea mume inakuwa shida??
Kitu gani hicho unakihofia kutokea?
Vipi kama kisipotokea??
Halafu si una elimu??

Niambie kipi?

Anything can happen not just death. Could be incapacitated.
 
Ningemuambia MCHAWI MKUBWA wewe, uliniroga niumwe ili niache kazi, ulinichezea picha na kuniteka kiaina.
Ningetafuta kazi na kumtangazia uchawi kwa jamaa zangu.

Naomba ujue kuanzia sasa kuwa hufai kuitwa mama wala mke wa yoyote na unaiaibisha hiyo jinsia yako!!
 
Mbona wewe unadai kuijua kwa kutaka kazi?

Kuna watu leo wanakula hela iliyotafutwa na Babu zao
Unadhani hao babu za hao wangeweza kuzimaliza hizo pesa hata kama bibi asingefanya kazi?

Wanaofanya kazi hawana mashosti?
Wanaofanya kazi hawapo vijiweni?

Nani kakuambia mtu ukifanya kazi huendi vijiweni??

lol...hapa inabidi nikatafute madesa yangu ya PHILOSOPHY na PSYCHOLOGY kukujibu!!!!!
 
Ningeongea nae tu taratibu na nimpe faida za wote endapo nitafanya kazi ili zitusaidie mbeleni am sure angenielewa
 
yeye ni binadam..kuna leo na kesho anaweza asiwepo na nitatakiwa kusimama mimi mwenyewe.
Kwanini unafikiria hayo?
Akiwepo siku zote za maisha yako??
.kuna magonjwa pia,kama nilivoumwa mie yeye nae inaweza tokea...
Asipougua?
mbali na hayo,kipato cha wawili si sawa na cha mmoja,na mie nifanyie kazi nilichosomea basi...
Kipato anachoingiza yeye kinawatosha kwanini unataka kufanya kazi??
af angenielewa akaniruhusu kufanya kazi asee..tuna maana sana kama mwanaume ana maana pia
Hii inaweza kuwa kweli lakini ili uonekane una maana ni pale utakapokuwa na uwezo wa kuelewa mambo kirahisi kama hili!!
 
Huo ni mfano..lakini pia ajiulize alidhani mim nitaumwa na kufikia hali ile..?
Hata wa kwako ni mfano pia na hakuna ushahidi kuwa kwasababu wewe uliugua na mimi nitaugua!
Kwahiyo kama kuna uwezekano wa kila mtu kufanya kazi ni bora wakafanya wote mana hatujui ya mbeleni..
Hata kama haihitajiki??
 
Ushahidi uko wapi?
Ni ushahidi wa aina gani unao utaka?
we kwa mawazo yako unadhani kila jambo mpaka liwe na ushadi ndio lionekane lipo kukosa ushahidi haimaanishi mambo hayo hayafanyiki
Mbona hujatuambia kuwa huyo jamaa kinachomfanya amzuie mkewe kufanya kazi ni wivu?
Labda kama haujakisoma vizuri nilichokiandika
Halafu nani kakuambia kuwa huyo jamaa yako ni sample ya wanaume wote duniani?
We ulitaka mpaka nani aniambie ndo awe sample ya wanaume wote duniani?
We una dhani wanaume wote wanakojoa wame simama kuna wengine wanachuchumaa.
Usi ishi kwa kukariri mkuu!
 
Ni ushahidi wa aina gani unao utaka?
we kwa mawazo yako unadhani kila jambo mpaka liwe na ushadi ndio lionekane lipo kukosa ushahidi haimaanishi mambo hayo hayafanyikiLabda kama haujakisoma vizuri nilichokiandika
We ulitaka mpaka nani aniambie ndo awe sample ya wanaume wote duniani?
We una dhani wanaume wote wanakojoa wame simama kuna wengine wanachuchumaa.
Usi ishi kwa kukariri mkuu!

mambo vipi mkuu? hebu nipe lecture kidogo jinsi ya kureply kwa kukata vipande vipande hivi. nilishajaribu lakini nikashindwa. jioni njema besti.
 
nitamkubalia huku nikijipanga namuingiaje nimuweke kwenye mstari ili mambo yaende sawa ktk hli cwez kuwa mkaidi coz wat i did ni kurudisha fadhira kwa wema alonifanyia kwa kumsikilza kile anachotaka

najua mwanaume anapenda kuheshimika na kusikiliza ktk hili cwez kuwj mbishi coz tumetoka mbali. kwan angeweza kuniacha kpnd cha matatizo lakin alikuwa mwenye ubinadamu na kunihudumia.

kwanin nilete zengwe ktk hli akuu namsikiliza mume mia jaman coz kupendwa kama huko hakujapata tokea.

naamin kwa kumsikiliza vle yeye anataka atanisikiliza nami pia ktk swala la kutafuta tena kazi huku nikisali kwa maombi na mungu atanisikiliza hatimae mambo yatakuwa mazur.

Habar ya jion mtumishi. ni hayo tu
 
Back
Top Bottom