Heshima kwenu!!!!!
Mwanaume unajisikiaje unapokuwa na mwanamke ambaye amekuzidi elimu na kipato pia??????????
Ni hilo tu..
Mi ntajiona mdogo a.k.a inferiority complex hata kama ananiheshimu. Yaani kwa mfano hata gari niendeshe la mwanamke kwa kuwa sina? hapana, labda tukubaliane tu, pesa zake ziishie bank tu asizilete nyumbani.
enheeeee hapo hapo....nini solution ya hiyo inferiority complex sasa??
samtymz unaeza ongea kitu akadefine kivingineeeeee ikaleta malumbano..
Kwamimi sioni tatizo, awe ananiheshimu tu
ful kujishtukia yan mpaka kero
dream, big dream!!!!
PRACTICAL FACT: Mwanamke akikuzidi elimu na pesa hawezi kukuheshimu. Labda kama unajidanganya tu.
Out of topic napostije tangaZo la biashara
Bora umemwambia, tena afadhari akuzidi elimu (maana elimu ya kwetu ni vyeti tu) lakini sio pesa. Mwanamke akiwa na pesa maamuzi yote atayafanya yeye, anaweza kumleta hata mwanaume ndani akakwambia ni rafiki yake, lakini mwanaume hawezi kuleta mwanamke huku mkewe akamuona hata kama ni rafiki yake, ukweli ndo huo.