Swali kwa wanaume: Mnaposema mwanamke huyu mtamu, mnamaanisha nini?

kwanza akiwa mtamu, tunatafuta mwingine ili tuone utamu ma tukipata asie mtamu tunaendelea kutafuta hata tusie jua tunatafuta nini, akiwa mzuri tunataka sura mbovu, yarn ndo hivyo tulivyo na wala usishangae wanawake wameumbwa kama mapambo yetu (maua)ndo maana mnakuwa fasta na kuzeeka fasta kama mauwa, kwa kweli tunapata tabu kuwachagua,,,,,ni hivyo tu
 
Ni maindi seti tu, ze moo yu fili samu wanu ze moo ze injoimenti, ze lesi yua filingi ze lesi ze injoimenti
 
UTAMU NJOO UTAMU KOLEA SASA IKO HIVI

IKO HIVI

Utamu wa mwanamke ni hisia za Mwanaume kwa Mwanamke husika.

IKO HIVI
Katika kupima swala la utamu kuna suala la mazingira(mwonekano wa eneo la siri la mwanamke je ni kubwa kiasi kwamba uume unapwaya?, au inatight ikitight hapo ndo tamu according to me) kuna nyeti kavu, kuna nyeti zina majimaji (utelezi), kuna nyeti zenye joto (moto), lakini vilevile kuna nyeti baridi, kuna nyeti zinatoa harufu mbaya (kuna sababu zinazofanya iwe na harufu mbaya usafi wa mwanamke kwenye nyeti zake ni wa kiwango kidogo, fungus, bacteria na magonjwa kadhawakadha).


IKO HIVI
Harufu ya mawili ujue kuna wanawake wanatoa harufu mbaya(jasho).

IKO HIVI
Miguno yaani sauti anazotoa mwanamke zinachangia katika utamu huu. Mwanamke kama anatoa miguno fulani mjarabu, mara alalamike, mara ajilize, mara aheme namna gani vipi basi trust me huyo anaelekea kwenye kundi la wanawake watamu.


IKO HIVI
Manjonjo ya mwanamke kiuno anazungusha? Au ndo kaacha mwanaume afanye akimaliza basi?. Nooo mwanamke anayeonesha ushirikiano wa hapa na pale. Nk...


IKO HIVI
umbo, rangi ya mwanamke vinachangia kwenye utamu (wale wanaozimaga taa kusiwe na mwanza wowote hawafaidi haya mambo), Lakini pia joto la mwili vinachukua nafasi kwenye utamu.

Muunganiko wa vitu chanya (+) nilivyoviainisha hapo juu ndo' vinaleta UTAMU.....

Nani hajaelewa nimweleweshe.


Langu jina, Ninaitwa
Machepele Tanzania
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom