Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 34,184
- 44,046
- Thread starter
- #21
Kama ni mhamiaji halali, kwa miaka 20 ya upinzani kwanini mtu hakuona juhudi za wapinzani? Kwanini atumie mapesa kutaka kupeperusha bendera ya CCM? Je wakiambiwa waanze nyuma kama wageni wengine watakubali?
Hapa kuna hoja ya msingi hasa katika upinzani wa Tanzania ambapo unafanya kazi kwa huruma ya watawala. Hivi hawa wote ambao wanatoka CCM dakika hizi wakati CDM wanapigwa mabomu, wanauawa na kunyanyaswa waliiwahi hata dakika moja kutoa kauli ya kuwatetea? au hata kuonesha sympathy?