Shangazi majibu yako!Duh!Siri za ndoani unazitakia nini???!Oa/olewa na wewe ukajionee mwenyewe!!
Nashkuru kwa taarifa lizzy.Siri za ndoani unazitakia nini???!Oa/olewa na wewe ukajionee mwenyewe!!
Vitu vingine inabidi upate experience yako mwenyewe na sio kuishi na maneno ya kuambiwa!Shangazi majibu yako!Duh!
Afadhali umenisemea mkuuHalafu ukiisha jua kuwa ni kwel au co kweli,utachukua ha2a gan?
sidhani kama ni kosa sana mpaka wahusika wachukuliwe hatuwa. We utakuwa law enforcer maana haya maneno yako.Halafu ukiisha jua kuwa ni kwel au co kweli,utachukua ha2a gan?