Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 360,210
- 829,204
NyagiMe naujua utamu wa wine tu.
NyagiMe naujua utamu wa wine tu.
Sasa mbona wakishalewa wanahangaika na papuchi
Kakojoe ulale bas...Walevi mnazingua ujue.....,,
NdiooInakupeleka Nyegezi
Acha kulinganisha pombe na papuchi dingi.Papuchi imepitwa mbali sana.Haupishani sana na papuchi...
Karibu mkuu
Labda umefanya maendeleo ndo ukajiingiza kweny ulabu vinginevyp hilo halipoAlafu uwa najiuliza hv kwa nn watu wasiotumia pombe awajatupiga gap kubwa kimaisha maana walevi kusipendi laki kwa siku niswala la kawaida mno sasa tukija kwenye swala la maendeleo unakuta sisi walevi tumewapiga gap kubwa wale ambao sio wanywaji kiasi kwamba kuja kwako kuomba umkope ata elfu hamsini nikawaida Sana. Sasa sijui wenzetu uwa wanakosea wapi?
Piga nyagi ka mkubwa, watu eti wanaogopa spirit kisa zinaharibu maini sijui figo.Nyagi
Acha kulinganisha pombe na papuchi dingi.Papuchi imepitwa mbali sana.
Ungelinganisha na ngaja hapo sawa.
Pole yako mm nimeanza kunywa pombe nikiwa darasa la saba. Ila kumbuka connection zote za maisha zinapatikana bar sasa wewe saa kumi kamili jioni umeishaingia ndani upo na mke na watoto, sijui upo kijiwe cha kahawa hzo dili utazipatia wapi?Labda umefanya maendeleo ndo ukajiingiza kweny ulabu vinginevyp hilo halipo
Wambie wambieMe naujua utamu wa wine tu.
Nakazia... Wanatakiwa kuelewa aiseee na wajue kutofautisha kati ya kitambi na mimbaWambie wambie
Jamani pombe ni Chang'aa,gongo,kangala,pirimisi,wanzuki,nzera,ulanzi,mapuya.
Unaanzaje kuita pombe vinywaji kama st Anne, dompo, Serengeti light au image.
sasa na wewe kwann unapumuliana na walevi kama huwapendi????Habari wana JF! Kila siku huwa najiuliza starehe ya pombe ni pale unapokunywa au ni pale unakuwa chakalii mpaka wengine wanajinyea? Kwani starehe ya pombe hasa ni ipi maana kwa kweli walevi sometimes mnaboa mkienda chooni choo chote kinanuka pombe, mkipumua ndo kabisa utadhani gari la chibuku limepita.Najua humu kuna walevi wengi sana ndani sasa hebu niambieni starehe ya pombe ni Mapovu ruksa maana nimepiga jiwe gizani
Pombe ndio ulevi?Msifananishe mambo yakijinga na pombe