Swali kwa Walevi

Swali kwa Walevi

aisee huko uswahilini unapoishi nakushauri uhame maana inaonekana unakutana sana na walevi wa local brew...nigonge zangu nyagi au kvant halafu nikakojoe choo kinuke??
 
Starehe kukukela wewe mnywa soda harafu lazma ujue water is scarcity resources so drink beer save water
 
Pale unapokunya sasa ndio steam linapanda
Halafu nasikia kuna pombe zingine ukitaka kunywa lazima kwanza ufunge kamba miguu ya suruali maana lazima unye uyajaze sasa starehe iko wapi hapo
 
Halafu kuna tofauti gani mlevi wa chibuku na mlevi wa wine? Wote si walevi tu au kuna jipya
Ni tofauti. Mfano mlevi wa gongo akilewa lazima apige makelele au kuimba wakati anarudi kwake, walevi wa beer, wine ni tofauti
 
"mlevi ni mpumbavu na anyekunywa pombe ni pumbavu" Mwanri Rc Tabora
 
Hakunaga mlevi mwenye akili timamu, lazima fuse kidogo ikatike
 
Umesema ukweli.
Pole yako mm nimeanza kunywa pombe nikiwa darasa la saba. Ila kumbuka connection zote za maisha zinapatikana bar sasa wewe saa kumi kamili jioni umeishaingia ndani upo na mke na watoto, sijui upo kijiwe cha kahawa hzo dili utazipatia wapi?
 
Wanalewa lkn wanarudi nyumbani kimya kimya. Ingawa pia wapo wanaopiga kelele sema wanatofautiana
Mbona huyo jamaa aliekata gogo ukumbini alilewa beer au imekaaje hii.
 
Sijawahi kunywa pombe na sintokuja kunywa maisha yangu yote !
 
Acha kulinganisha pombe na papuchi dingi.Papuchi imepitwa mbali sana.

Ungelinganisha na ngaja hapo sawa.
nakazia














Mungu Ibariki Tanzania
Mungu Ibariki Chakwale
Mungu Ibariki Gairo
Mungu Ibariki Morogoro
 
Back
Top Bottom