Wakulonga
JF-Expert Member
- Oct 29, 2012
- 762
- 771
Habari wana JF! Kila siku huwa najiuliza starehe ya pombe ni pale unapokunywa au ni pale unakuwa chakalii mpaka wengine wanajinyea? Kwani starehe ya pombe hasa ni ipi maana kwa kweli walevi sometimes mnaboa mkienda chooni choo chote kinanuka pombe, mkipumua ndo kabisa utadhani gari la chibuku limepita.Najua humu kuna walevi wengi sana ndani sasa hebu niambieni starehe ya pombe ni Mapovu ruksa maana nimepiga jiwe gizani