Mwita Maranya
JF-Expert Member
- Jul 1, 2008
- 10,564
- 7,973
mkuu Mwita Maranya na gfsonwin hakuna research rasmi ilofanyika kuhusu wanaume wa kitz, ila mabint wengi wanazungumza kutokana na experienc si wote wanatabia hzo ila wengi wako hivyo cwezi zungumzia wanaume wa mataifa mengine mfano wanzungu coz cna experienc nao na hawanivutii as a man!
Nadhani wengi wanaolalamika ni wale wanaopenda short cut kuruka ruka na kila mwanaume anayetupa kete, sasa wakiachwa wanaishia kulialia na kutoa statements za kugeneralise.