Swali kwa wadada: Je ni wapi ungependa utoke kwa mara ya kwanza na mpenzi wako...?

Mtambuzi

Platinum Member
Oct 29, 2008
8,810
15,398
Tuchukulie mmejuana kwa muda mrefu kidogo, labda tuseme kwa takriban miezi miwili hivi, lakini hamjawahi kuwa na mtoko, zaidi ya kukutana mara kwa mara katika mazingira yenu ya kazi.

Je ni wapi ungependa uende kwa mtoko kwa mara ya kwanza na huyo mpenzi wako...?

cooking-couple.jpg

Je nyumbani kwa mpenzi wako.......


shutterstock_46189084.jpg

Au kwenye mghahawa................?


Hebu wadada fungukeni hapa.
 
wanaume wa kibongo kwenda naye home kwake on day 1?big no! Mie ntapenda twende sehemu calm and comfortable ambako nitafeel nko safe yaweza kuwa mgahawan au hotelin even park bora pawe na mazingira ya utulivu kwa mazungumzo and havng sm drinks,icecream etc
 
Mimi miezi yote ya KUZUGA NI MWENDO WA PUBLIC PLACES TU!!!! Chezea kukopwa game!!!!! lol! Waswahili ukiwaambia twende sehemu game linawezekana kupigwa KWISHA HABARIII YAKO, Atalia hata chozi la damu umuonjeshe!!! Hahahaaa! Ukimnyima utasikia NAOMBA HATA NIONE TU AU KUSHIKA!!!! LOLEST! Hizo mbinu tuuuu! Yataka moyo.

Mwanzoni mimi NI KUZUNGUKA SEHEMU AMBAZO NIMEZISIKIA ILA SIJAWAHI KUFIKA AT HIS EXPENSES OFCOURSE!!! LOL! I must put the wallet on test!!!! HOW CRAZY CAN HE CHOP CHOP HIS HARD AND SWEATY EARNED MONEY FOR ME!!!! VERY UNKIND!!!! (JST AS UNKIND AS SIKU UNAKUWA REPLACED) LOLEST!!!
 
Mimi miezi yote ya KUZUGA NI MWENDO WA PUBLIC PLACES TU!!!! Chezea kukopwa game!!!!! lol! Waswahili ukiwaambia twende sehemu game linawezekana kupigwa KWISHA HABARIII YAKO, Atalia hata chozi la damu umuonjeshe!!! Hahahaaa! Ukimnyima utasikia NAOMBA HATA NIONE TU AU KUSHIKA!!!! LOLEST! Hizo mbinu tuuuu! Yataka moyo.

Mwanzoni mimi NI KUZUNGUKA SEHEMU AMBAZO NIMEZISIKIA ILA SIJAWAHI KUFIKA AT HIS EXPENSES OFCOURSE!!! LOL! I must put the wallet on test!!!! HOW CRAZY CAN HE CHOP CHOP HIS HARD AND SWEATY EARNED MONEY FOR ME!!!! VERY UNKIND!!!! (JST AS UNKIND AS SIKU UNAKUWA REPLACED) LOLEST!!!

Dada wewe dah!
 
Mimi miezi yote ya KUZUGA NI MWENDO WA PUBLIC PLACES TU!!!! Chezea kukopwa game!!!!! lol! Waswahili ukiwaambia twende sehemu game linawezekana kupigwa KWISHA HABARIII YAKO, Atalia hata chozi la damu umuonjeshe!!! Hahahaaa! Ukimnyima utasikia NAOMBA HATA NIONE TU AU KUSHIKA!!!! LOLEST! Hizo mbinu tuuuu! Yataka moyo.

Mwanzoni mimi NI KUZUNGUKA SEHEMU AMBAZO NIMEZISIKIA ILA SIJAWAHI KUFIKA AT HIS EXPENSES OFCOURSE!!! LOL! I must put the wallet on test!!!! HOW CRAZY CAN HE CHOP CHOP HIS HARD AND SWEATY EARNED MONEY FOR ME!!!! VERY UNKIND!!!! (JST AS UNKIND AS SIKU UNAKUWA REPLACED) LOLEST!!!

Jamani hayo mambo ya kulazimisha game yalikuwa zamani, wanaume wa Kibongo siku hizi tumeelimika kwa kiasi kikubwa, kwa hiyo hilo la kulazimishwa game halipo tena...... uzungu kwa kwenda mbele....LOL
 
Mimi miezi yote ya KUZUGA NI MWENDO WA PUBLIC PLACES TU!!!! Chezea kukopwa game!!!!! lol! Waswahili ukiwaambia twende sehemu game linawezekana kupigwa KWISHA HABARIII YAKO, Atalia hata chozi la damu umuonjeshe!!! Hahahaaa! Ukimnyima utasikia NAOMBA HATA NIONE TU AU KUSHIKA!!!! LOLEST! Hizo mbinu tuuuu! Yataka moyo.

Mwanzoni mimi NI KUZUNGUKA SEHEMU AMBAZO NIMEZISIKIA ILA SIJAWAHI KUFIKA AT HIS EXPENSES OFCOURSE!!! LOL! I must put the wallet on test!!!! HOW CRAZY CAN HE CHOP CHOP HIS HARD AND SWEATY EARNED MONEY FOR ME!!!! VERY UNKIND!!!! (JST AS UNKIND AS SIKU UNAKUWA REPLACED) LOLEST!!!

Du! sijawahi kutumia hii trick ya blue, lazima nicopy na kupaste
 
Mimi miezi yote ya KUZUGA NI MWENDO WA PUBLIC PLACES TU!!!! Chezea kukopwa game!!!!! lol! Waswahili ukiwaambia twende sehemu game linawezekana kupigwa KWISHA HABARIII YAKO, Atalia hata chozi la damu umuonjeshe!!! Hahahaaa! Ukimnyima utasikia NAOMBA HATA NIONE TU AU KUSHIKA!!!! LOLEST! Hizo mbinu tuuuu! Yataka moyo.

Mwanzoni mimi NI KUZUNGUKA SEHEMU AMBAZO NIMEZISIKIA ILA SIJAWAHI KUFIKA AT HIS EXPENSES OFCOURSE!!! LOL! I must put the wallet on test!!!! HOW CRAZY CAN HE CHOP CHOP HIS HARD AND SWEATY EARNED MONEY FOR ME!!!! VERY UNKIND!!!! (JST AS UNKIND AS SIKU UNAKUWA REPLACED) LOLEST!!!

ndo mana mnaliwa viboga(MARINDA)
 
Tuchukulie mmejuana kwa muda mrefu kidogo, labda tuseme kwa takriban miezi miwili hivi, lakini hamjawahi kuwa na mtoko, zaidi ya kukutana mara kwa mara katika mazingira yenu ya kazi.

Jeni wapi ungependa uende kwa mtoko kwa mara ya kwanza na huyo mpenzi wako...?

cooking-couple.jpg

Je nyumbani kwa mpenzi wako.......


shutterstock_46189084.jpg

Au kwenye mghahawa................?


Hebu wadada fungukeni hapa.

Nyumbani kwake au kwangu, nimtengenezee brekfast ya nguvu, mazungumzo kwa sana, tupate lunch hapo hapo, then mida mida jioni ktk hotel tulivuuu, bites na kamvinyo light hivii na mambo mengine mengine. Yaani tu spend the whole day together home and away.
 
Nyumbani kwake au kwangu, nimtengenezee brekfast ya nguvu, mazungumzo kwa sana, tupate lunch hapo hapo, then mida mida jioni ktk hotel tulivuuu, bites na kamvinyo light hivii na mambo mengine mengine. Yaani tu spend the whole day together home and away.

Una akili sana wewe.................
wapi snowhite na Madam B ....?
 
Last edited by a moderator:
Jamani hayo mambo ya kulazimisha game yalikuwa zamani, wanaume wa Kibongo siku hizi tumeelimika kwa kiasi kikubwa, kwa hiyo hilo la kulazimishwa game halipo tena...... uzungu kwa kwenda mbele....LOL

Hahahaaaaaa! Halazimishi wala habaki, anabembeleza tuuuu! Hapo kitu 90 degrees, nani atake kurudi home na blue balls!!! lol! Mtu anaomba hadi chozi linadondoka ( rohoni mweusiiii anajisemea ukiingia mkenge umekwishaaaa!!! lol!)mbinu tu hizo!!! Hahahaaaaa! Ukidanganyika BAAAAAAAAAAAAASS! Hakupigii simu tena, you made him beg for it!!! NYAMBAFUUUU ZAKO!!! LOL!
 
Mimi miezi yote ya KUZUGA NI MWENDO WA PUBLIC PLACES TU!!!! Chezea kukopwa game!!!!! lol! Waswahili ukiwaambia twende sehemu game linawezekana kupigwa KWISHA HABARIII YAKO, Atalia hata chozi la damu umuonjeshe!!! Hahahaaa! Ukimnyima utasikia NAOMBA HATA NIONE TU AU KUSHIKA!!!! LOLEST! Hizo mbinu tuuuu! Yataka moyo.

Mwanzoni mimi NI KUZUNGUKA SEHEMU AMBAZO NIMEZISIKIA ILA SIJAWAHI KUFIKA AT HIS EXPENSES OFCOURSE!!! LOL! I must put the wallet on test!!!! HOW CRAZY CAN HE CHOP CHOP HIS HARD AND SWEATY EARNED MONEY FOR ME!!!! VERY UNKIND!!!! (JST AS UNKIND AS SIKU UNAKUWA REPLACED) LOLEST!!!

direct to the point yaani wanawake wote wangekuwa kama wewe kungekuwa hamna bwagana full kuspend mahela na kulana utamu
 
Nyumbani kwake au kwangu, nimtengenezee brekfast ya nguvu, mazungumzo kwa sana, tupate lunch hapo hapo, then mida mida jioni ktk hotel tulivuuu, bites na kamvinyo light hivii na mambo mengine mengine. Yaani tu spend the whole day together home and away.

Tena mkimaliza lunch, mnapata vinywaji kama hivi, kabla ya kutoka.....

couple-flirting.jpg
 
Hahahaaaaaa! Halazimishi wala habaki, anabembeleza tuuuu! Hapo kitu 90 degrees, nani atake kurudi home na blue balls!!! lol! Mtu anaomba hadi chozi linadondoka ( rohoni mweusiiii anajisemea ukiingia mkenge umekwishaaaa!!! lol!)mbinu tu hizo!!! Hahahaaaaa! Ukidanganyika BAAAAAAAAAAAAASS! Hakupigii simu tena, you made him beg for it!!! NYAMBAFUUUU ZAKO!!! LOL!
lara 1 usichangie tena hii mada maana unawatisha wenzio................LOL
 
Last edited by a moderator:
Hahahaaaaaa! Halazimishi wala habaki, anabembeleza tuuuu! Hapo kitu 90 degrees, nani atake kurudi home na blue balls!!! lol! Mtu anaomba hadi chozi linadondoka ( rohoni mweusiiii anajisemea ukiingia mkenge umekwishaaaa!!! lol!)mbinu tu hizo!!! Hahahaaaaa! Ukidanganyika BAAAAAAAAAAAAASS! Hakupigii simu tena, you made him beg for it!!! NYAMBAFUUUU ZAKO!!! LOL!

No problem coz only head will inter while tail outside, and abt phone as ussual only shortlisted will be contacted
 
shosti lara 1 umesema kwel tupu wanaume wa kibongo hupretend kuwa wapole and caring b4 kula mzigo, ukilogwa ukampa soon umeliwa macare yote kwishney hata phonecalls zinastop ,yan wao wanajal asal yako kuliko wewe mwenyewe so the best thng 2do ni kuwaweka pending!
 
Last edited by a moderator:
Mimi miezi yote ya KUZUGA NI MWENDO WA PUBLIC PLACES TU!!!! Chezea kukopwa game!!!!! lol! Waswahili ukiwaambia twende sehemu game linawezekana kupigwa KWISHA HABARIII YAKO, Atalia hata chozi la damu umuonjeshe!!! Hahahaaa! Ukimnyima utasikia NAOMBA HATA NIONE TU AU KUSHIKA!!!! LOLEST! Hizo mbinu tuuuu! Yataka moyo.

Mwanzoni mimi NI KUZUNGUKA SEHEMU AMBAZO NIMEZISIKIA ILA SIJAWAHI KUFIKA AT HIS EXPENSES OFCOURSE!!! LOL! I must put the wallet on test!!!! HOW CRAZY CAN HE CHOP CHOP HIS HARD AND SWEATY EARNED MONEY FOR ME!!!! VERY UNKIND!!!! (JST AS UNKIND AS SIKU UNAKUWA REPLACED) LOLEST!!!

Kweli kabisa binti....Yaani lazima aombe umchungulishe na akishaona, lazima ataomba kugusa walau kidogo...

Nimekukubali kwamba wewe ni kichwa a.k.a jembe la MMU.....!!

Jamani hayo mambo ya kulazimisha game yalikuwa zamani, wanaume wa Kibongo siku hizi tumeelimika kwa kiasi kikubwa, kwa hiyo hilo la kulazimishwa game halipo tena...... uzungu kwa kwenda mbele....LOL

Bado yapo tena sana....Hebu chungulia huu uzi halafu utueleze!!

UZI WENYEWE NI HUU HAPA

Babu DC!!
 
Back
Top Bottom