gfsonwin
JF-Expert Member
- Apr 12, 2012
- 18,274
- 20,673
hata sielewi hapa nichague wapi.
Lakini nyumbani kwangu No, anayeletwa nyumbani ni mtu ambaye stage yake ni kubwa sana.
Wengine wote ni vichakani huko huko.
Mbona mnawasema vibaya wanamme wa kitz? They are my fav mbona? Nibadili mtazamo??
Mbona mie nimeshaenda kwa wawili tofauti ujanani, and nothing happened, hawakuwa normal?
Tena huyo mmoja tulipika na kupakua, ilikuwa nzuri, but hakuomba mchezo hata zaidi aliweka bayana feelings zake. Mnanichanganya kuwa hawapo ambao wana stamina hata ndogo, wapo hata kama ni wachache ila wapo.
but nilichogundua na sasa naanza kuwa na hofu juu ya nafasi ya mwanaume mtanzania kwenye mapenzi naona kabisa kwamba watu wanamuona kana kwamba ni mtu asiye ridhika wala kuwa na heshima na pia asiye weza kuhimili hisia zake.
to me wanaume wa kiafrika ni wazuri na wapo wanaoweza kuhimili hisia zao and well matured unless kama unakutana na vijianaume ambavyo ni vitoto. uuuuh!