Mndengereko
JF-Expert Member
- Mar 24, 2011
- 7,306
- 3,413
nijuavyo mimi wachina ni mabingwa kucopy na kupaste katika vitu mbali mbali lakini toka nimeanza kutumia computer os ninayoijua na kuisikia sana ni za microsoft kuanzia window 95-window 8 inayotarajiwa kutoka mwezi huu sasa swali kwa nini hamna os ya kichina ambayo hawa watu wangekuwa wameicopy na kubadilisha vitu kidogo tu ili kuleta ushindani kama kawaida yao?
then window 8 karibia inatoka ktk pita pita zangu bado sijaona kama ni free from virus kwani hawa watu nini kinachowashinda kuifanya os ya window ikawa free from virus mbona apple zao ni free from virus
swali la mwisho naombeni mnipe elimu juu ya hili hivi copmputer za aple mtu hauformat kam hizi zetu za kawaida na ikiwa umeformata wapi unapata c.d zake za window na kama c.d ya o.s ya apple ipo hivi mtu huwezi ukainstall ios katika computer za kawaida naombeni kuwasilisha wadu
then window 8 karibia inatoka ktk pita pita zangu bado sijaona kama ni free from virus kwani hawa watu nini kinachowashinda kuifanya os ya window ikawa free from virus mbona apple zao ni free from virus
swali la mwisho naombeni mnipe elimu juu ya hili hivi copmputer za aple mtu hauformat kam hizi zetu za kawaida na ikiwa umeformata wapi unapata c.d zake za window na kama c.d ya o.s ya apple ipo hivi mtu huwezi ukainstall ios katika computer za kawaida naombeni kuwasilisha wadu