Swali kwa mhashamu baba askofu mokiwa

CHUAKACHARA

JF-Expert Member
Jun 3, 2011
12,358
6,422
Baba Askofu, Bwana Asifiwe.

Kama sikosei Mahakama kuu ya Tanzania, Arusha ilitoa amri kuwa Askofu Hotay asiwekwe wakfu mpaka hapo pingamizi lililowekwa na waumini wawili lipatiwe ufumbuzi.

SWALI:

Baba Askofu, hukutekeleza amri halali ya mahakama. Je, na wewe ukitoa amri/wito/maagizo kwa walio chini yako/ waumini wako, waikatae? UMEWAFUNDISHA NINI WAUMINI WAKO KUHUSU UTII?.

AMRI YA BWANA YESU INAYOSEMA "YAHESHIMU MAMLAKA ILIYOPO" TUNAITEKELEZA?
 
Zuio lililokuwepo ni kutokuwa Askofu wa Jimbo, amesimikwa maana amechaguliwa kihalali lakini hajapangiwa Jimbo. Kwani kama watu wa Arusha hawamtaki kwa sababu ya interest ya wachache kuna majimbo mengi na kazi zingine ambazo Askofu ataweza kufanya.

Kwa hili siyoni tatizo kwa sababu hajapangiwa kituo cha kazi na hasa cha Arusha ambacho ndo kuna watu waliotaka swahiba wao wanaomjua wao ndiyo achaguliwe lakini mambo ya Mungu ni ya Rohoni zaidi na si ya kimwili kama wanavyodhani wao!
 
Zuio lililokuwepo ni kutokuwa Askofu wa Jimbo, amesimikwa maana amechaguliwa kihalali lakini hajapangiwa Jimbo. Kwani kama watu wa Arusha hawamtaki kwa sababu ya interest ya wachache kuna majimbo mengi na kazi zingine ambazo Askofu ataweza kufanya! Kwa hili siyoni tatizo kwa sababu hajapangiwa kituo cha kazi na hasa cha Arusha ambacho ndo kuna watu waliotaka swahiba wao wanaomjua wao ndiyo achaguliwe lakini mambo ya Mungu ni ya Rohoni zaidi na si ya kimwili kama wanavyodhani wao!

Nimekuelewa baba Askofu -kama wewe/ofisi/uliyemwelekeza ndiye uliyejibu. Basi na AMANI itawale. Kazi ya Mungu haiitaji Mahakama. Nawashauri waumini waondoe pingamizi hilo, kazi ya Mungu itendeke. Kanisani hakuna biashara yoyote kama baba wa Taifa Nyerere alivyosema kuwa Ikulu kuna biashara gani. Ondoeni pingamizi ndugu zangu wauminihao wawili, tumtukuze Bwana.
Polisi Nawaomba HEKIMA itawale katika kutekeleza wajibu huu. Hatutegemei ya Mbowe. TUMSIFU YESU KRISTO.
 
Nimekuelewa baba Askofu -kama wewe/ofisi/uliyemwelekeza ndiye uliyejibu. Basi na AMANI itawale. Kazi ya Mungu haiitaji Mahakama. Nawashauri waumini waondoe pingamizi hilo, kazi ya Mungu itendeke. Kanisani hakuna biashara yoyote kama baba wa Taifa Nyerere alivyosema kuwa Ikulu kuna biashara gani. Ondoeni pingamizi ndugu zangu wauminihao wawili, tumtukuze Bwana.
Polisi Nawaomba HEKIMA itawale katika kutekeleza wajibu huu. Hatutegemei ya Mbowe. TUMSIFU YESU KRISTO.

Hapo kwenye nyekundu mkuu utakuwa 'hutafanya utafiti wa kutosha' hebu soma hii

BBC News - Nigeria's pastors 'as rich as oil barons'
 
Nimekuelewa baba Askofu -kama wewe/ofisi/uliyemwelekeza ndiye uliyejibu. Basi na AMANI itawale. Kazi ya Mungu haiitaji Mahakama. Nawashauri waumini waondoe pingamizi hilo, kazi ya Mungu itendeke. Kanisani hakuna biashara yoyote kama baba wa Taifa Nyerere alivyosema kuwa Ikulu kuna biashara gani. Ondoeni pingamizi ndugu zangu wauminihao wawili, tumtukuze Bwana.
Polisi Nawaomba HEKIMA itawale katika kutekeleza wajibu huu. Hatutegemei ya Mbowe. TUMSIFU YESU KRISTO.

Ningekuwa mimi ningeandika hayo ya kwenye RED, badala ya kumshambulia askofu kwa maneno yaliyokosa hekima!
 
Back
Top Bottom