Swali kwa Dr. Kitila, Zitto Kabwe, Mwigamba na Albert Msando

Mkwawa

JF-Expert Member
Jun 8, 2011
1,334
1,464
Kwakuwa ACT ni chama chenu mlichoanzisha kwa fedha na utashi wenu, Je ni lini mlianza harakati za kuazisha chama hiki cha siasa? (maandalizi yalianza lini na mawazo yalianza?

Je mlitumia rasilimali kiasi gani za Chadema kwa siri kuanza kujenga mitandao ya chama chenu kipya?

Je waraka wa siri ulikuwa ni mkakati wa kudhoofisha CDM na kisha kukimbia na wanachama?

Je Pm7 ilikuwa ni moja ya malengo ya kuanzisha ACT?

Je ni nina wafadhili wa ACT?

Je CDM walikuwa sahihi kuwaita wasaliti?

Kama sio kwanini?

Ni haki na itakuwa sawa kutumia matamshi yenu na matendo kuwapima ndani ya ya ACT?

Nia yenu ya dhati ni hasa! madaraka, fedha, kutumika au kujenga demokrasia au vyote??

Je ni kweli kwamba lazima uwe msomi mzuri ndio uweze kupata aina yeyote ile ya uongozi?

Je ni kweli mmoja wenu akikosa madaraka ataanzisha chama chake ,mwenyewe?

Je ni kweli ni chama cha wote wanaofukuzwa na vyama vyao? kujiunga?

Je ni kweli hamtakuwa na katiba wala kanuni zinazobana maadili, miiko, weledi kwani siku zote katiba na kanuni zinanyima uhuru halisi wa binadinamu?

Je ni kweli kila mtu ataruhusiwa kuongea lolote kwa yeyote na wakati wote,( hakutakuwa na neno siri wala vikao vya siri)

Je ni kweli muda wa kampeni ni wakati wote na yeyote anaweza kumpindua kiongozi yeyote bila kufuata taratibu yeyote?

Je ni kweli yeyote anaweza kuanzisha chama chake akiwa bado mwanachama hai wa wa ACT?

Je ni kweli kiongozi yeyote wa ACT anaweza kudhoofisha nguvu za ACT kwa fedha za yeyote akona inafaa kama mwenye fedha atataka iwe hivyo?

Je ni kweli kiongozi wa ACT anaweza kuuza jimbo la uchaguzi kwa ccm kwa fedha ?
 
Hakika kwa mswali hayo hakuna wakiyajibu ndani Ya act maana ni hukumu
 
CHADEMA WAZIDI KUMPIGIA MAGOTI ZITTO
KABWE AMBAYE WALIMUITA MSALITI NA
MUHAINI::::Chama Cha Demokrasia na
maendeleo Chadema, kimekuwa katika mikakati
ya siri ya kukutana na Mh.Zitto ili wakutane
katika mazungumzo ya kukinusuru Chama
ambacho kinaendelea kupotea katika ramani ya
siasa za Tanzania.Kwa nyakati tofauti viongozi
wa Chadema taifa wamekuwa wakiwaagiza watu
walioko karibu na Zitto ili wafanye mazungumzo
na yaishe. Lakini Zitto amekataa kukutana na
Mbowe kwani ikumbukwe Mbowe na kundi lake
walimuita Zitto kwa majina mengi. Wapo
waliomuita Zitto ni msaliti,muhaini na wengine
wenye midomo mikubwa walisema Zitto aliuza
majimbo ya Chadema. Sasa kipindi Zitto anauza
majimbo,wao viongozi wa Chadema taifa
walikuwa wapi? au walishirikiana wote kuyauza?.
Wengine wakaenda mbali zaidi wakasema kuwa
Zitto ni mbunge wa Mahakama na kusahau Zitto
ni mbunge wa jimbo la Kigoma Kaskazini.
Mbowe akasema hatumuangalii mtu usoni bali
Chama. Dr. Slaa akasema Zitto si Chochote na
ana makosa ya kisayansi.Sasa leo Zitto msaliti
anaonekana mtu muhimu ndani ya Chadema?
Tena MM MSALITI leo muhimu ndani ya
Chadema,Kweli sasa Chadema yaanza kulamba
matapishi.
R.I.P CHADEMA.
KARIBU ACT-TANZANIA TAIFA KWANZA.
 
Mbowe akasema hatumuangalii mtu usoni bali
Chama. Dr. Slaa akasema Zitto si Chochote na
ana makosa ya kisayansi.Sasa leo Zitto msaliti
Tena MM MSALITI
Tangu mwaka 2008 mwenendo wa kisiasa wa Zitto Zuber Kabwe ulianza kutiliwa shaka na wanachama wa CHADEMA ndani na nje ya chama, Hili lilipelekea kuibuka maneno ya chini kwa chini kuwa anakisaliti chama.
 
ACT ni Chama makini watch me,Mwigamba,ZZK na Kitila Mkumbo vijana makini,tunataka mageuzi ndani ya Chama kipya sasa,propaganda zifikie tamati
 
CHADEMA WAZIDI KUMPIGIA MAGOTI ZITTO
KABWE AMBAYE WALIMUITA MSALITI NA
MUHAINI::::Chama Cha Demokrasia na
maendeleo Chadema, kimekuwa katika mikakati
ya siri ya kukutana na Mh.Zitto ili wakutane
katika mazungumzo ya kukinusuru Chama
ambacho kinaendelea kupotea katika ramani ya
siasa za Tanzania.Kwa nyakati tofauti viongozi
wa Chadema taifa wamekuwa wakiwaagiza watu
walioko karibu na Zitto ili wafanye mazungumzo
na yaishe. Lakini Zitto amekataa kukutana na
Mbowe kwani ikumbukwe Mbowe na kundi lake
walimuita Zitto kwa majina mengi. Wapo
waliomuita Zitto ni msaliti,muhaini na wengine
wenye midomo mikubwa walisema Zitto aliuza
majimbo ya Chadema. Sasa kipindi Zitto anauza
majimbo,wao viongozi wa Chadema taifa
walikuwa wapi? au walishirikiana wote kuyauza?.
Wengine wakaenda mbali zaidi wakasema kuwa
Zitto ni mbunge wa Mahakama na kusahau Zitto
ni mbunge wa jimbo la Kigoma Kaskazini.
Mbowe akasema hatumuangalii mtu usoni bali
Chama. Dr. Slaa akasema Zitto si Chochote na
ana makosa ya kisayansi.Sasa leo Zitto msaliti
anaonekana mtu muhimu ndani ya Chadema?
Tena MM MSALITI leo muhimu ndani ya
Chadema,Kweli sasa Chadema yaanza kulamba
matapishi.
R.I.P CHADEMA.
KARIBU ACT-TANZANIA TAIFA KWANZA.

Ukikosa la kuchangia ingia ulale,mada nyingine unarukia kwingine kama kunguru,jibu hoja kwanza afu uanzishe post yako ya uzandiki kama hii na uje na facts sio blabla @#@#@##@ .
 
ZITTO
KABWE AMBAYE WALIMUITA MSALITI NA
MUHAINI::::
Kwa kuwa ni mwislamu. Hii ni fursa katika kupata kuungwa mkono na wanachama waislamu ambao wamekuwa na kigugumizi wakidhani waislamu hawatakiwi katika uongozi wa taasisi yetu.
 
Hivi mnaiogopa nini ACT? Mbona inawatisha sana? Manake kila kukicha mnapost thread kibao za ACT.
 
ACT ni Chama makini watch me,Mwigamba,ZZK na Kitila Mkumbo vijana makini,tunataka mageuzi ndani ya Chama kipya sasa,propaganda zifikie tamati
Zitto ameshapunguza ukaribu na viongozi wa serikali?

Ni maoni yetu pia kwamba kuanzia sasa MM aenende katika mwenendo ambao utarahisisha ushindi. Mfano tunapendekeza afanye yafuatayo kuanzia sasa:
i. Apunguze ukaribu na viongozi wa serikali na wa chama tawala na awe crical zaidi na utendaji wa serikali nje na ndani ya bunge.
ii.
Source waraka wa Kitila na Mwigamba!!
 
ACT ni Chama makini watch me,Mwigamba,ZZK na Kitila Mkumbo vijana makini,tunataka mageuzi ndani ya Chama kipya sasa,propaganda zifikie tamati

subiria wote watoke mafichoni, najau kusogezwa mbele kwa bunge la katiba kutamchelewasha ZZK kuingia kundini. Mpango ulikuwa posho za bunge la katiba na la bajeti wazitumie kujenga ACT. sasa sijui bado wataendelea kumsubiri mpaka bunge la katiba liishe bila ya kuchagua mwenyekiti au la.

Wakianza kazi utajua ugumu wa kujenga chama cha siasa. Tutawahukumu kwa maneno yao wenyewe na matendo yao?

Wote ni watukutu na wajuaji sijui hilo kundi la wasomi wa kizazi kipya litakuwaje. Walishindwa kuwa makini ndani ya chama cha ukweli? wataweza kwenye maigizo? unafikiri ZZK akiwa mwenyekiti atakubali Dr Kitila atengeneza PM8 au mabadiliko 2015 ya kumwondoa ZZK na Mwigamba? unafikiri watakubali?

Kama fedha iliweza kuwanunua na kutaka kuuwa cdm fedha hiyo hiyo itawanunua na kuanza kuchanganyana wenyewe kwa wenyewe.

Mobutu wa zaire alipoona lazima awe na upinzani aliwanunua wengi na kuanzisha vyama vingi viduchu viduchu ili kupunguza nguvu za upinzani. Kwa hili CCM imejitahidi sana. Ila 2015 ACT itachangana na CCM na watagombana wenyewe mtu na mchumba wake.
 
CHADEMA WAZIDI KUMPIGIA MAGOTI ZITTO
KABWE AMBAYE WALIMUITA MSALITI NA
MUHAINI::::Chama Cha Demokrasia na
maendeleo Chadema, kimekuwa katika mikakati
ya siri ya kukutana na Mh.Zitto ili wakutane
katika mazungumzo ya kukinusuru Chama
ambacho kinaendelea kupotea katika ramani ya
siasa za Tanzania.Kwa nyakati tofauti viongozi
wa Chadema taifa wamekuwa wakiwaagiza watu
walioko karibu na Zitto ili wafanye mazungumzo
na yaishe. Lakini Zitto amekataa kukutana na
Mbowe kwani ikumbukwe Mbowe na kundi lake
walimuita Zitto kwa majina mengi. Wapo
waliomuita Zitto ni msaliti,muhaini na wengine
wenye midomo mikubwa walisema Zitto aliuza
majimbo ya Chadema. Sasa kipindi Zitto anauza
majimbo,wao viongozi wa Chadema taifa
walikuwa wapi? au walishirikiana wote kuyauza?.
Wengine wakaenda mbali zaidi wakasema kuwa
Zitto ni mbunge wa Mahakama na kusahau Zitto
ni mbunge wa jimbo la Kigoma Kaskazini.
Mbowe akasema hatumuangalii mtu usoni bali
Chama. Dr. Slaa akasema Zitto si Chochote na
ana makosa ya kisayansi.Sasa leo Zitto msaliti
anaonekana mtu muhimu ndani ya Chadema?
Tena MM MSALITI leo muhimu ndani ya
Chadema,Kweli sasa Chadema yaanza kulamba
matapishi.
R.I.P CHADEMA.
KARIBU ACT-TANZANIA TAIFA KWANZA.
Kweli ww siasa mchanga sana kama chama chako na kwa mwendo huu wa kuwasema watu ndio mpate popularity duh! Kazi mnayo kwa ushauri tu njooni nyie kama nyie msiwaseme watu au chama njoo na hoja watu wachambue wenyewe na kama mnaona hapana sasa hv mnaanza kupopolewa
 
Kuna kipindi niliona sio sahihi kuwafukuza cdm hila kwa hili kweli ilikuwa misaliti hii imechukua fedha za ccm


Sent from my iPhone 5 using JamiiForums

Upo sahihi.
Jambo ambalo watanzania hawajua nikwamba hatakuanzishwa kwa ACT ni muendelezo wa kuteleza mkakati wa ccm wa kuua upinzani. Tangu ianzishwe ACT hawajaiponda ccm hata siku moja coz wanajua kuiponda ccm ni kuchoma moto gunia la PESA.
 
CHADEMA WAZIDI KUMPIGIA MAGOTI ZITTO
KABWE AMBAYE WALIMUITA MSALITI NA
MUHAINI::::Chama Cha Demokrasia na
maendeleo Chadema, kimekuwa katika mikakati
ya siri ya kukutana na Mh.Zitto ili wakutane
katika mazungumzo ya kukinusuru Chama
ambacho kinaendelea kupotea katika ramani ya
siasa za Tanzania.Kwa nyakati tofauti viongozi
wa Chadema taifa wamekuwa wakiwaagiza watu
walioko karibu na Zitto ili wafanye mazungumzo
na yaishe. Lakini Zitto amekataa kukutana na
Mbowe kwani ikumbukwe Mbowe na kundi lake
walimuita Zitto kwa majina mengi. Wapo
waliomuita Zitto ni msaliti,muhaini na wengine
wenye midomo mikubwa walisema Zitto aliuza
majimbo ya Chadema. Sasa kipindi Zitto anauza
majimbo,wao viongozi wa Chadema taifa
walikuwa wapi? au walishirikiana wote kuyauza?.
Wengine wakaenda mbali zaidi wakasema kuwa
Zitto ni mbunge wa Mahakama na kusahau Zitto
ni mbunge wa jimbo la Kigoma Kaskazini.
Mbowe akasema hatumuangalii mtu usoni bali
Chama. Dr. Slaa akasema Zitto si Chochote na
ana makosa ya kisayansi.Sasa leo Zitto msaliti
anaonekana mtu muhimu ndani ya Chadema?
Tena MM MSALITI leo muhimu ndani ya
Chadema,Kweli sasa Chadema yaanza kulamba
matapishi.
R.I.P CHADEMA.
KARIBU ACT-TANZANIA TAIFA KWANZA.

pole sana zzk hana tofauti na mbwa jike au boko, hana makali tena toothless dragon and harmless creature, akafie ACT akisaka tonge nono la kupata uraisi au cheo chochote kikubwa hapo kwenye chama nyambav uuuuuuuuuu zke
 
ACT ni Chama makini watch me,Mwigamba,ZZK na Kitila Mkumbo vijana makini,tunataka mageuzi ndani ya Chama kipya sasa,propaganda zifikie tamati

ACT-Tanzania ni chama makini tuko imara sana.
Sisi ni wataalam wa mambo ya Kupambana na Vyama pinzani vinavyosumbua chama tawala.
AcT tuko kwa ajili ya kupambana na Chadema TU.
 
Back
Top Bottom