Swali kwa dada zangu wa JF

Swali kwa dada zangu wa JF

Hahahaha

Bora huyo unayemkuta karambezi na laptop walau anaweza stahili na ana uhakika na kazi yake

Hawa wakukaa bar ,anaanza na soda akipata MTU anahamia Heineken au Savannah ,ndio wengi wamejaa
Wale wakaa bar hata 50k unabeba. Kwanza fifte nyingi. Wale wanaendaga na nauli tu.Hawajali kazi yao kabisa. wadangaji ndo wanaweza kujihudumia. Mtu anakaaa Karambezi na laptop ajitia ana kazi kumbe anachat JF anasubiri mtu amuongeleshe ambebe
 
Back
Top Bottom