Swali kwa dada zangu wa JF

Swali kwa dada zangu wa JF

Mimi nafikiri inategemea,kuna maescort na malaya wa barabarani,malaya wa barabarani kwanza atakushangaa kwa sababu hiyo ni pesa nyingi sana kwake,escort inategemea na rate yake wengine hiyo milioni mbili wanaitengeneza weekend tu kwa kulala na wanaume watatu tofauti from friday to sunday afu monday unawaona ofisini kwenye kazi ya mshahara wa laki tatu na nusu kwa mwezi.
 
Mimi nafikiri inategemea,kuna maescort na malaya wa barabarani,malaya wa barabarani kwanza atakushangaa kwa sababu hiyo ni pesa nyingi sana kwake,escort inategemea na rate yake wengine hiyo milioni mbili wanaitengeneza weekend tu kwa kulala na wanaume watatu tofauti from friday to sunday afu monday unawaona ofisini kwenye kazi ya mshahara wa laki tatu na nusu kwa mwezi.
Hahahaha

Nilikua sijui km kuna wadada wanaitwa Escort
 
Mkuu hili jambo nitalifanyia kazi ,hawa inaonekana tofauti kabisa na wale washinda bar za uswazi kwetu huku
Asee itabidi nianze uchunguzi wa hii kitu
Hao hawakai bar kusubiri mteja. Biashara inaenda kwa simu ama email. Sio mpala mtu akatege Serena ndo adake kichwa. Nikipata hela natafuta watoto wazuri nawatengeneza nawafanya escorts. Wateja wangu wanakua wanasiasa na matajiri baaasi.
 
Aisee me nachukia kuuza mwili...yaan nikiona mtu anaongelea kuhusu kumnunua mwanamke napata hasira na kichefuchefu kabisa...sijui wenzangu huwa mnaichukuliaje hii issue? Eti nilale na mtu ili anipe hela? Je thamani ya mwili wangu inapimwa kwa hela? Nimekuwa nyama buchani?? Naheshimu mwili wangu na hisia zangu kuliko chochote...siwezi uza utu wangu hata kama napitia magumu kiasi gani....utu wangu haupimwi kwa kiasi chochote cha fedha....kwani mwili wa mwanamke ni bidhaa?? I really hate this! na Mungu aendelee kunisaidie nisije waza kulala na mwanaume eti kisa nina shida ya hela.
wewe pekee umejivu vyema, namsubiria honey wangu naye aje kusema neno
 
Hahahaha

Una idea nzuri

Wakaa bar huwa mbwembwe nyingi sana ,halafu KIU ya bia inawasumbua
Hao hawakai bar kusubiri mteja. Biashara inaenda kwa simu ama email. Sio mpala mtu akatege Serena ndo adake kichwa. Nikipata hela natafuta watoto wazuri nawatengeneza nawafanya escorts. Wateja wangu wanakua wanasiasa na matajiri baaasi.
 
Wale wakaa bar hata 50k unabeba. Kwanza fifte nyingi. Wale wanaendaga na nauli tu.Hawajali kazi yao kabisa. wadangaji ndo wanaweza kujihudumia. Mtu anakaaa Karambezi na laptop ajitia ana kazi kumbe anachat JF anasubiri mtu amuongeleshe ambebe
Hahahaha

Una idea nzuri

Wakaa bar huwa mbwembwe nyingi sana ,halafu KIU ya bia inawasumbua
 
Back
Top Bottom