kwanini wachaga tu?
kwanini wachaga tu?
Wachaga ni JANGA jamani,khaa..!! Yani hawa hawana cha sijui natokea Umbwe,marangu wala Rombo.
Tena akisema ni wa KIBOSHO,ama MACHAME ndo uuwiiii....
Sijui wameumbwaje hawa? Mwanzo utasema,mwanamke si huyu? Oa sasa na mzae japo mtoto mmoja tuu,mama yangu,balaa..
Jamani Wachaga hawajui MAPENZI...utampenda kwa kila njia,lakini hawapendekiii...(mapenzi sio kitandani tu jamani,ku do kunadhihirisha kuwa kweli mnapendana)
Hawana NYAMA YA ULIMI kabisaaa...Hawajui kubembeleza wala wao wenyewe hawabembelezeki..ni MAJANGA wachaga jamani,uuwiiii....
Mnapiga magoti mkiwa chumbani, acheni kuvunga hapa. Nani alipropose bila goti hapa? Kweli jf haipaswi kuchukuliwa serious.
Wachaga ni JANGA jamani,khaa..!! Yani hawa hawana cha sijui natokea Umbwe,marangu wala Rombo.
Tena akisema ni wa KIBOSHO,ama MACHAME ndo uuwiiii....
Sijui wameumbwaje hawa? Mwanzo utasema,mwanamke si huyu? Oa sasa na mzae japo mtoto mmoja tuu,mama yangu,balaa..
Jamani Wachaga hawajui MAPENZI...utampenda kwa kila njia,lakini hawapendekiii...(mapenzi sio kitandani tu jamani,ku do kunadhihirisha kuwa kweli mnapendana)
Hawana NYAMA YA ULIMI kabisaaa...Hawajui kubembeleza wala wao wenyewe hawabembelezeki..ni MAJANGA wachaga jamani,uuwiiii....
chaaaah