Habari wadau wa humu jukwaani.
Nina swali kuhusu simu ya Infinix. Kuna mdau anatumia simu ya Infinix sina uhakika sana kama ni note 8 au ila ni toleo la zamani kidogo. Aliniambia kwenye Gallery yake kuna Private folder la picha,anadai amesahau Password na akitaka pia kulifuta hawezi.
Sasa naulizia je kuna option ya kuweza kulifungua hali ya kuwa umesahau password ?
Na je akitaka kulifuta anafanyaje ? Naomba majibu ya maswali yote mawili.
Natanguliza shukrani.
Nina swali kuhusu simu ya Infinix. Kuna mdau anatumia simu ya Infinix sina uhakika sana kama ni note 8 au ila ni toleo la zamani kidogo. Aliniambia kwenye Gallery yake kuna Private folder la picha,anadai amesahau Password na akitaka pia kulifuta hawezi.
Sasa naulizia je kuna option ya kuweza kulifungua hali ya kuwa umesahau password ?
Na je akitaka kulifuta anafanyaje ? Naomba majibu ya maswali yote mawili.
Natanguliza shukrani.