utakuja
JF-Expert Member
- Sep 20, 2010
- 990
- 800
Habarini wanajukwaa! Kuna kitu nilipenda kufahamu kwa wanaojua. Hivi ukinunua bidhaa kutoka Kikuu na Jumia nimeona wana kitu kinaitwa door-to-door delievery-- wanakuletea hadi mlangoni, swali langu ni kuwa... hizi kampuni zinafanya hichi kitu wenyewe au kuna kampuni (courier) wanaowapa bidhaa then wanakuletea. Na pia kwa mkoani wanatumia hizi kampuni pia au wanatumaje. Kwa kifupi hii process nzima ya kuletewa mzigo na kuwalipa ukishapa mzigo inafanyaje kazi? Shukran!