Kaunga
JF-Expert Member
- Nov 28, 2010
- 12,529
- 13,501
Mwanaume akiflirt kuna uwezekano mkubwa akaenda all the way; ila mwanamke akiflirt she is most of the time not serious. Riwa nafikiri hii inafanana na swali lako la SMS kwenye simu ya mwanaume na ya mwanamke. (I thought it is worth a thread)
Ufafanuzi kidogo
Mfano mimi naflirt na mwanaume, au hata najiongozesha. Akiwa tayari kuridhia mtongozo wangu, bado mimi naweza chomolea na nisionekane nina tatizo.
Lakini mwanamume akiflirt na mimi, mimi nikiridhia je naye anauwezo wa kuchomolea kwa kuwa hakuwa serious? Au itabidi anigegede ili nisiseme sio mzima au ana kibamia au anything? I mean man's ego haitakuwa damaged kwa mdada kujilengesha na yeye kumtolea nje?
Ufafanuzi kidogo
Mfano mimi naflirt na mwanaume, au hata najiongozesha. Akiwa tayari kuridhia mtongozo wangu, bado mimi naweza chomolea na nisionekane nina tatizo.
Lakini mwanamume akiflirt na mimi, mimi nikiridhia je naye anauwezo wa kuchomolea kwa kuwa hakuwa serious? Au itabidi anigegede ili nisiseme sio mzima au ana kibamia au anything? I mean man's ego haitakuwa damaged kwa mdada kujilengesha na yeye kumtolea nje?