Swali Gumu nililowahi kuulizwa na mwanangu

Swali Gumu nililowahi kuulizwa na mwanangu

akohi

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2012
Posts
787
Reaction score
527
Hivi ni kwanini Paka sio wengi kama Ng'ombe au Mbuzi wakati hawaliwi wala kuuawa na wanazaliana tu kila kukicha tena uzao wao ni wa mkupuo? Tazama jinsi ng'ombe wanavyochinjwa kila kukicha na uzao wao ni mmoja mmoja lakini wako wengi sana.

Wana ecology tunaomba majibu na ukiweza tupia swala ulowahi kushindwa kumjibu mtoto/mwanao
 
Huyo dogo mfungulie ID yake humu Jf, ni future GT
 
Ha ha ha ha! Nimecheka sana.

Swali zito kwa jibu jepesi.

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums

Kweli swali gumu sana; kwani simba na other cats uzazi wao ukoje?
Herbivores wanazaliwa wengi na kukua wengi kuliko carnivores, swala la food chain linahusika l think. Tuwasubili ma-ecologists waje na majibu ya kuridhisha.
 
Kwasababu paka hatuhangaiki kuwatunza kama tunavyowatunza ng'ombe.
Ni wachache sana wanaofuga paka kuliko wanaofuga ng'ombe.
 
Hata Simba na Chui ni wachache kuliko Nyumbu na Punda milia.
Halafu niuilize na mimi Mikoa ya Kusini kuna watu wafupi kuliko Kanda ya Kati na ziwa?
Wanyamwezi/ Wasukuma (kwa upande mmoja) wanahusika hapa au sio Kaunga?
 
Last edited by a moderator:
Mtoto wangu bint wa miaka mitatu anauliza
Kuna fathercat na mothercat ila atajuaje yupi ni yupi?
Kwake yeye viumbe hawa si wengi ila anaamini ni haohao na akimuona wa rangi nyingine ina maana amebadili nguo
Anauliza,ameivuaje?
 
mwalimu gfsonwin njoo utuambie kwenye food chIn nyau ana nafasi gani?
Kweli swali gumu sana; kwani simba na other cats uzazi wao ukoje?
Herbivores wanazaliwa wengi na kukua wengi kuliko carnivores, swala la food chain linahusika l think. Tuwasubili ma-ecologists waje na majibu ya kuridhisha.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom