James Comey
JF-Expert Member
- May 14, 2017
- 8,112
- 13,342
Biden kasema anafanya kazi kwa karibu na ujerumani kuhakikisha Nord 2 (bomba la gesi halisainiwi).
Hebu tusubiri tuone huu mtanange utaishia wapi......Biden kasema anafanya kazi kwa karibu na ujerumani kuhakikisha Nord 2 (bomba la gesi halisainiwi).
Wakat urusi kalianzisha peke us wanaanza kupiga hodi ili kuungwa mkonoMkuu TUJITEGEMEE , Anthony Blinken kapiga simu Beijing kuomba wasadie kulinda uhuru wa Ukraine. Yaani Marekani atakuwa kwenye hali mbaya sana kama Uchina atakuwa upande wa Urusi: Uchina bado hajasema chochote, wala kuchagua upande mpaka sana. Tusubiri
Itakua ngumu sana ujerumani kuachana na huu mradi moja kwa moja kulingana na manufaa yake kwa ujerumani yenyew na majiran zakeBorrell kasema EU wataiwekea Urusi vikwazi vinavyouma. Ujerumani katishia kwamba Nord Stream 2 hawataendelea nayo.
marekani kaingia kichwa kichwa kwenye huu mtanangeMkuu TUJITEGEMEE , Anthony Blinken kapiga simu Beijing kuomba wasadie kulinda uhuru wa Ukraine. Yaani Marekani atakuwa kwenye hali mbaya sana kama Uchina atakuwa upande wa Urusi: Uchina bado hajasema chochote, wala kuchagua upande mpaka sana. Tusubiri
Mkuu michango yako ni shule tosha kwangu bila shaka na kwa wengine wengi...ni kati ya WanaJF wachache ndani hili jukwaa la Kimataifa unaeongea kitu chanye uhalisia.Mkuu TUJITEGEMEE , Anthony Blinken kapiga simu Beijing kuomba wasadie kulinda uhuru wa Ukraine. Yaani Marekani atakuwa kwenye hali mbaya sana kama Uchina atakuwa upande wa Urusi: Uchina bado hajasema chochote, wala kuchagua upande mpaka sana. Tusubiri
Vikwazo wataweka, lakini vitakuwa na madhara makubwa sana kwa pande zote.Itakua ngumu sana ujerumani kuachana na huu mradi moja kwa moja kulingana na manufaa yake kwa ujerumani yenyew na majiran zake
Warusi wameongeza thamani ya bei ya gesi wanayoiuza Ulaya. Ujerumani amecheza karata yake ya kuusinzisha mkataba baina yake na Urusi. Na kama ulivyosema Ujerumani kwa kipindi kirefu anaitegemea Urusi kwenye hiyo sekta. Grafu ya gesi gharama yake ipo juu kwa nchi za Ulaya ikiwemo Ujerumani. Kwa Urusi kupandisha thamani ya mauzo yake ya gesi nao ni mtego kwa Kansela wa sasa wa Ujerumani. Sidhani kama raia wanaweza kuhimili upandaji wa gharama hiyo naiona kama harufu ya maandamano Ujerumani.Ujerumani imekuwa na udhaifu na utegemezi wa gesi na mafuta kutoka Urusi kwa miaka zaidi ya 100. Prof Daniel Yergin kwenye kitabu chake "The Prize" anasema kwamba moja ya sababu zilizomfanya Adolf Hitler avamie USSR ilikuwa ni kuteka visima vya mafuta, gesi, migodi ya chuma na mashamba ya mpira. Angefanikiwa kupata rasilimali za USSR ndipo angenza kupambana na dunia yote.
Italia wamesema wanaitaka sana gesi ya Urusi, hivyo ni suala la muda tu wengine nao watajiunga. Hivi unadhani wazungu ambao wanavamia nchi za kiarabu kuiba mafuta, watakataa gesi ya Urusi kisa Donbas ?? Tusubiri tuone
Na Urusi kapandisha gharama ya mauzo ya gesi.Borrell kasema EU wataiwekea Urusi vikwazi vinavyouma. Ujerumani katishia kwamba Nord Stream 2 hawataendelea nayo.
NS2 ilikua haijaanza na wameizuia vp kuhusu utaratibu unaotumika sasa kusafirisha hiyo gesi sijasikia km nao umezuiwaVikwazo wataweka, lakini vitakuwa na madhara makubwa sana kwa pande zote.
Niwe mkweli; haya masuala unayajua kuliko mimi/sisi. Sifahamu dunia inaelekea wapi ila kwa lugha nyepesi napata tabu Sana.RAISI VLADMIR PUTIN AMEAMURU URUSI IPELEKE VIKOSI DONBASS:
Baada ya eneo la Donbass kuwa huru, Raisi wa Urusi amempa maelekezo Waziri wa Ulinzi kupeleka vikosi vya kutunza amani na usalama kwenye nchi mpya ambazo ni za Donesty na Lugansk. Pia katoa maelekezo waanzishe mazungumzo ya haraka na nchi hizo ili kuanzisha mahusiano ya kidiplomasia.
Yaani hajatumia kabisa kuimega Ukraine maana kwenye sheria za kimataifa hajafanya lolote lile. Mikataba ya Umoja wa Mataifa inatambua haki ya watu kujitawala wenyewe (A Right to self-determination). Yaani, hii kwenye mchezo wa CHESS tunaita CHECK-MATE, Urusi ametumia mchezo wa Marekani kumshinda Marekani. Tena kafanya kisasa, bila kumwaga damu kama Marekani.....
Hebu tuone Marekani na washirika wake watafanya nini kukabiliana na hili......
Mkuu, Kauli ya Mwenyekiti wa Baraza la usalama la Russia, imenistua. Anasema wanamalizia thamini ya mahuSiano na Ulaya na hasa nchi "korofi" za huko. Pia wanafikiria namna nyingine ya kuendeleza makubaliano ya START yanayo husu masuala ya usalama na US!!! Hii ni hatAri sana.Vikwazo wataweka, lakini vitakuwa na madhara makubwa sana kwa pande zote.
I'm humbled you know.....Mkuu michango yako ni shule tosha kwangu bila shaka na kwa wengine wengi...ni kati ya WanaJF wachache ndani hili jukwaa la Kimataifa unaeongea kitu chanye uhalisia.
Alikuwepo na Mwana JF mmoja Dotworld sijui alipotelea wapi, nae alikuwa mjuvi sana wa siasa za Urusi na Marekani.
Usiondoke kwenye TV mkuu,mambo mazito yanakuja.Urusi leo tena imeshambulia kinu kikubwa Cha nuclear nakukiweka under control baada ya wiki iliyopita kutwaa chenobry hii sass hatari na nadhani naanza kuelewa maana ya military operation anayoizungumzia bwana Putin
Ni vyema ungedadavua, hili taifa linamsumbua Marekani kivipi na katika nyanja ipi? Uchumi? Technology? Nguvu ya ushawishi? Ama una maanisha nini. Hapo sijapaepewa mkuu. Weka mambo sawa.