Travis 1
JF-Expert Member
- Feb 17, 2015
- 873
- 1,349
Shukrani sana Mkuu nilikuwa nasubiri uchambuzi wako. Mpaka sahivi nimeshindwa kulala sijajua nini kitaendelea huko.RAISI VLADMIR PUTIN AMEAMURU URUSI IPELEKE VIKOSI DONBASS:
Baada ya eneo la Donbass kuwa huru, Raisi wa Urusi amempa maelekezo Waziri wa Ulinzi kupeleka vikosi vya kutunza amani na usalama kwenye nchi mpya ambazo ni za Donesty na Lugansk. Pia katoa maelekezo waanzishe mazungumzo ya haraka na nchi hizo ili kuanzisha mahusiano ya kidiplomasia.
Yaani hajatumia kabisa kuimega Ukraine maana kwenye sheria za kimataifa hajafanya lolote lile. Mikataba ya Umoja wa Mataifa inatambua haki ya watu kujitawala wenyewe (A Right to self-determination). Yaani, hii kwenye mchezo wa CHESS tunaita CHECK-MATE, Urusi ametumia mchezo wa Marekani kumshinda Marekani. Tena kafanya kisasa, bila kumwaga damu kama Marekani.....
Hebu tuone Marekani na washirika wake watafanya nini kukabiliana na hili......