Swali Fikirishi: Sababu ya Zanzibar, Tanga na Mombasa kuna idadi ndogo ya mimba kwa Wanafunzi

Komeo Lachuma

JF-Expert Member
Oct 31, 2014
5,360
11,505
Hili swali nmeulizwa leo na mzee mmoja ambaye ni kutoka Zanzibar. Lakini anasema amezunguka sana Tanzania kikazi. Huyu mzee ni fundi mzuri sana wa Mercedes Benz.

Anasema amezunguka almost Tanzania nzima kwa sababu ya kazi hiyo ambayo ipo damuni. Akiwa ananifanyia service huku akibadilishana maneno mawili matatu na vijana akanishirikisha kwenye maongezi kwa kuniuliza.

"unadhani kwa nini Zanzibar,Mombasa na Tanga kuna idadi ndogo ya wanafunzi wanaopata ujauzito?" Swali lake lilinishtua kidogo nikaamua kuvuta tafakuri kabla sijajibu.

Yeye alikuwa na jibu sababu anasema ana uzoefu mkubwa sana na maeneo hayo anajua nini sababu. Baada ya majadiliano Mzee huyu anayejulikana kwa aka ya Mzee Abuu Bakora. Akaamua kufunguka.

Mambo ni mazito.nkawaza niwashirikishe wana JF Pengine wanaweza kuwa na mchango katika hili.
 
Hili swali nmeulizwa leo na mzee mmoja ambaye ni kutoka Zanzibar. Lakini anasema amezunguka sana Tanzania kikazi. Huyu mzee ni fundi mzuri sana wa Mercedes Benz.

Anasema amezunguka almost Tanzania nzima kwa sababu ya kazi hiyo ambayo ipo damuni. Akiwa ananifanyia service huku akibadilishana maneno mawili matatu na vijana akanishirikisha kwenye maongezi kwa kuniuliza.

"unadhani kwa nini Zanzibar,Mombasa na Tanga kuna idadi ndogo ya wanafunzi wanaopata ujauzito?" Swali lake lilinishtua kidogo nikaamua kuvuta tafakuri kabla sijajibu.

Yeye alikuwa na jibu sababu anasema ana uzoefu mkubwa sana na maeneo hayo anajua nini sababu. Baada ya majadiliano Mzee huyu anayejulikana kwa aka ya Mzee Abuu Bakora. Akaamua kufunguka.

Mambo ni mazito.nkawaza niwashirikishe wana JF Pengine wanaweza kuwa na mchango katika hili.
Zanzibar yote ina watu wangapi? Kati ya hao wangapi ni wanafunzi? Kati ya wanafunzi hao, wangapi wamepata mimba? Takwimu hizo ndizo unapaswa kutupa ili kulinganisha na kwingine. Kwa mfano, kwa takwimu za kupika tu ambazo si za kweli, kama Zanzibar wakiwepo wanafunzi 1,000 waliopata mimba kati ya wanafunzi 20,000 hiyo ni asilimia 5 (5%). Dar kukiwa na wanafunzi 5,000 waliopata mimba kati ya wanafunzi 300,000 hiyo ni asilimia 1.7 (1.7%) tu. Hivyo kiwango cha kupata mimba ni kikubwa zaidi Zanzibar kuliko Dar japokuwa idadi ya waliopata mimba Dar ni mara tano zaidi ya ile ya Zanzibar.
 
*Mambo ya Pwani*
Dereva(nahodha) wa mashua anakaaga nyuma tofauti na madereva wa vyombo vingine vingi
 
Nmeshalishwa sana tigo na watoto wa zanzibar. Wanne ...katika sita.walinambia mbele nisiguse kabisa. Hao wengine wawili mmoja alikuwa kaolewa kaachika na mwingine alikuwa bado yupo ndoani so hakuwa na sababu ya kutunza bikra coz haikuwepo tayari. Mimi nina ushahidi wala si kuhadithiwa.

Kukutwa bikra zanzibar ni suala la kawaida na ni malezi,kusemaeti wanafanya mapenzi kinyume cha maumbile ni uzushi uliokutawaleni vichwani mwenu na kushadidia utadhani ushashuhudia,acheni ujinga
 
Nmeshalishwa sana tigo na watoto wa zanzibar. Wanne ...katika sita.walinambia mbele nisiguse kabisa. Hao wengine wawili mmoja alikuwa kaolewa kaachika na mwingine alikuwa bado yupo ndoani so hakuwa na sababu ya kutunza bikra coz haikuwepo tayari. Mimi nina ushahidi wala si kuhadithiwa.

Unapatikana wapi mkuu..? Maana una kesi ya kujibu, umekiri umeshafumua marinda mabinti kadhaa huko😀😀
 
Hakuna cha kufikirisha hapo mbona ukisoma heading tu unapata jibu fasta.
 
Nmeshalishwa sana tigo na watoto wa zanzibar. Wanne ...katika sita.walinambia mbele nisiguse kabisa. Hao wengine wawili mmoja alikuwa kaolewa kaachika na mwingine alikuwa bado yupo ndoani so hakuwa na sababu ya kutunza bikra coz haikuwepo tayari. Mimi nina ushahidi wala si kuhadithiwa.
Historia inaonyesha kwamba yoyote anaependa huo mchezo wa kurudi nyuma nae huko nyuma alishawahi kuliwa. Wewe ulianzwa na nani na ulikua umelewa au ni huu huu ujinga wako ndio uliopelekea ukafanywa mke ? Je bado unaendeleza huo ufedhuli au ulisha acha.
 
Back
Top Bottom