Hili linanishangaza sana!
Kutana na mtu wa Arusha au moshi umsikie anavyoponda Kanda ya Ziwa na mikoa mingine.
Nenda Ruvuma ukutane na mhehe umsikie anavyoponda Ruvuma.
Nenda kusini ukutane na mwalimu ajira mpya kutoka kigoma au nzega huko na aliyeisotea ajira kwa miaka mitano huku macho yakiwa yamemtoka, akijimwambafai kwa kuiponda vibaya mikoa ya kusini.
Hali hii ni tofauti kwa kiasi kikubwa tu na watu wa dar. Tatizo ni nini?
Kutana na mtu wa Arusha au moshi umsikie anavyoponda Kanda ya Ziwa na mikoa mingine.
Nenda Ruvuma ukutane na mhehe umsikie anavyoponda Ruvuma.
Nenda kusini ukutane na mwalimu ajira mpya kutoka kigoma au nzega huko na aliyeisotea ajira kwa miaka mitano huku macho yakiwa yamemtoka, akijimwambafai kwa kuiponda vibaya mikoa ya kusini.
Hali hii ni tofauti kwa kiasi kikubwa tu na watu wa dar. Tatizo ni nini?