Mkereketwa_Huyu
JF-Expert Member
- Feb 19, 2011
- 9,217
- 6,349
Membe ni sawa na Zitto tu, hawa ni political entrepreneurs they cease on occasion given to them.
Alinukia wapi ACT Wazalendo?Utopolo. Je niguse alinuka hakunuka?? Kamuulize 7baya na Mcba
Hii ni sawa na kuachiwa Mali ya urithi huku aliyeachiwa alikuwa hajui mzazi wake alikuwa anafanyaje.Mimi mpaka leo sielewi ni kwa nini Hangaya anadhani anao uwezo wa kutuongoza? Hivi wewe umeshamuona akiongelea jambo lolote ambalo ni intuition yake ukiachilia kuandikiwa?
Membe na Jiwe wanajuana, ila najiuliza kwanini Membe anakuwa huru kusema alifanya kazi TISS,nimemsikia zaidi ya mara moja wakati wenzie mfano Mahiga,Mlema huwa hawasemiMi nadhani Membe aheshimiwe kwa maoni yake!ametusemea Wengi sana na pia Ameonyesha UOZO wa idara ya kijasusi na DEEP STATE kwa kushindwa kufanya upembuzi yakinifu wa mteule wa ugombea URAISI ANAEFAA Kutuvusha!!!!KWA JPM WALIFELI SANA!HATA MEMBE AMESEMA KWA JPM TULIFELI!!!
upo sahihi sana, mi naamini Jiwe angekuwa hai mpaka sasa isingepita week naye akamchamba Membe lazima jiwe aliyajua mengi mabaya ya MembeMembe licking nobody's balls. Ana madhaifu yake. Na hayafanyi jiwe wala hangaya kuwa wa muhimu sana. Wote hovyo tuu..
Tunataka katiba mpya inayokidhi matakwa ya wananchi
Katiba mpyaaaaupo sahihi sana, mi naamini Jiwe angekuwa hai mpaka sasa isingepita week naye akamchamba Membe lazima jiwe aliyajua mengi mabaya ya Membe
kwa nilivomfahamu jiwe,ni kweli ana tabia alizosema Membe,na lazima alimbania Membe kwa sababu alijua fika Membe amefanya kitu au anataka kufanya kitu
cha muhimu ni kama ulivosema,katiba Mpya
One thing, alipoteuliwa kuwa mgombea mwenza bila shaka ni baada ya kuonekana anao uwezo. Mtendeeni haki kwa hilo.Mimi mpaka leo sielewi ni kwa nini Hangaya anadhani anao uwezo wa kutuongoza?
Mlema yupi huyo!kwanini Membe anakuwa huru kusema alifanya kazi TISS,nimemsikia zaidi ya mara moja wakati wenzie mfano Mahiga,Mlema huwa hawasemi
Correct!Tunayaheshimu mawazo yake lakini tuna haki pia ya kuhoji sawa na yeye alivyofanya.Kwa hiyo pia wanaohoji alichokielezea Membe mawazo yao pia yaheshimiwe.
ReallyAnahangaika na post trauma ya kuangushiwa kitu kizito cha mjomba magu. Yule mjomba alijua kuminyia chini gizani ile kitu inaitwa induced suppressed pain hulii wakati unabinywa, kilio ni baadae wakati tukio lishakwisha..we need another magu
Hakuwa raisi mwenye maoniKifupi JIWE alikuwa na roho ya korosho.
Tuwe tunatoa mahitimisho baada ya Tafakari ya kina. Hivi kweli vigezo vilivyotumika Ni Vigezo vinavyopita Upeo wa Mashaka?One thing, alipoteuliwa kuwa mgombea mwenza bila shaka ni baada ya kuonekana anao uwezo. Mtendeeni haki kwa hilo.
Hakufika hapo kwa hila kama walivyojaribu kufanya kina membe, lowasa nk.