Swala la kukopa kopa linamahusiano na laana??

Swala la kukopa kopa linamahusiano na laana??

rafikimkweli

JF-Expert Member
Joined
Sep 5, 2013
Posts
349
Reaction score
121
mimi nadhani kuna watu wana laana za ukoo, haiwezekani mtu ameajiriwa ofisi very reputable lakini bado anakopa kopa tu kila mara, just imagine leo tarehe 8, tayari mtu ameshaishiwa, mtu anamfuata mtu mpaka hospitali kukopa??

U tell the guy , i am at the hosp subiri, he can't even wait, anakufuata mpaka hospital kuchukua hela.

Mnisamehe but kuna watu very annoying kwakweli.

Nakaa kufikiri naona kuna laana za ukoo katika baadhi ya mambo, kama haya ya kuomba omba hela wakati umeajiriwa.
 
Duh jamaa anasumbuliwa na pepo la umasikini. Ukimchunguza kwa undani utakuta ana msururu wa mademu na bili za bar ndizo zinazomtesa
 
Duh jamaa anasumbuliwa na pepo la umasikini. Ukimchunguza kwa undani utakuta ana msururu wa mademu na bili za bar ndizo zinazomtesa
mkuu kama vile unamfahamu, ila hayo ndio maisha gani sasa mkuu, kupeana mizigo ambayo sio, watu wapunguze hizo mambo aisee, simu yake ikiita unajua kabisa ni mkopo...
 
mimi nadhani kuna watu wana laana za ukoo, haiwezekani mtu ameajiriwa ofisi very reputable lakini bado anakopa kopa tu kila mara, just imagine leo tarehe 8, tayari mtu ameshaishiwa, mtu anamfuata mtu mpaka hospitali kukopa??

U tell the guy , i am at the hosp subiri, he can't even wait, anakufuata mpaka hospital kuchukua hela.

Mnisamehe but kuna watu very annoying kwakweli.

Nakaa kufikiri naona kuna laana za ukoo katika baadhi ya mambo, kama haya ya kuomba omba hela wakati umeajiriwa.

Ndg pesa ni kitu kidogo sana kwenye utu,
Njia pekee ya kumsaidia if u real mean it ni kumuelekeza yeye nini afanye nini asifanye ili kuepuka haya!
Je unadhani kuleta issue hii ya kimajungu unakuwa imemsaidia au umemdharirisha? wewe pia ni maskini wa hekima na busara ingawa una utajiri wa pesa, jijue kuwa una tatizo pia.
Acha unafiki unapoamua kumsaidia mtu do it for your open heart, sasa mwenzio yupo huko anashukuru umemsaidia kumbe ndo kwanza unamnanga, mwishowee aibiwe hata hizo hela maana ni mikosi tu unapa!
 
Lakini wewe sio rafikimkweli kama ID yako, ulipaswa kuongea nae ujue tatizo hasa ni nini kwanini anakopa kopa, huenda hajui kufanya savings au ana matatizo makubwa kifamilia ambayo yanamkabili yanayozidi kipato chake, unaweza kuchukulia juu juu kwamba amezoea kukopa ila inaweza kuwa zaidi ya hicho unachofikiria, na kama amekuwa unakopa mara kwa mara kwako basi anajua kabisa kipato chako ni kizuri hivyo kumsaidia inawezekana. ongea na mwenzako mpe ushauri namna ya kubaliana na matatizo kwa kile kidogo anachokipata na kufanya yale yaliyo ndani ya uwezo wake na kufika kila jambo kuendena na ulazima. kama ni mlevi pia mshauri, ushauri wako kwake namna ya yeye kujipanga na kuweka akiba unaweza kumsaidia sana na atakukumbuka zaidi kuliko ungemkopesha na kumfanya ajenge mazoea ya kukopa kopa.
 
Last edited by a moderator:
Dawa yake muambie siku hizi nna benki ya briefcase. Nakukopesha ukipata salare unanirudishia na riba ya 20%. Atajifunza tu taratibu!
 
Ndg pesa ni kitu kidogo sana kwenye utu,
Njia pekee ya kumsaidia if u real mean it ni kumuelekeza yeye nini afanye nini asifanye ili kuepuka haya!
Je unadhani kuleta issue hii ya kimajungu unakuwa imemsaidia au umemdharirisha? wewe pia ni maskini wa hekima na busara ingawa una utajiri wa pesa, jijue kuwa una tatizo pia.
Acha unafiki unapoamua kumsaidia mtu do it for your open heart, sasa mwenzio yupo huko anashukuru umemsaidia kumbe ndo kwanza unamnanga, mwishowee aibiwe hata hizo hela maana ni mikosi tu unapa!

Ndugu nia yangu ni kuona suluhisho la swala hili, sina nia ya kunanga mtu, mshahara wake ni mzuri tu hali inayonipa wasiwasi huwa anafanyia nini nao, leo ni tarehe 8 mkuu, huoni hilo ni tatizo
 
Ndugu nia yangu ni kuona suluhisho la swala hili, sina nia ya kunanga mtu, mshahara wake ni mzuri tu hali inayonipa wasiwasi huwa anafanyia nini nao, leo ni tarehe 8 mkuu, huoni hilo ni tatizo

Inawezekana hujui tabia za watu wanafiki ni zipi;
kwa kifupi ni kama hiyo yako mkuu, unatakiwa ukisema YES imaanishe YES na siyo YES kumbe moyo umejaa weusi wa NO
Kama suruhu ya hilo shwala ni wewe na yeye kama kkweli unayo nia ya dhati ya kumsaidia!
 
Hakuna binadamu ambaye hakopi, tena usimshangae huyo wengine wanakopa tar 2. Kama analipa deni tatizo liko wapi?
 
Ni kweli kwani wengi wanahusisha mkopo na riba jambo ambalo mumgu amelikemea sana nijambo baya lina athari kubwakwa umma
 
Karibu nchi zote duniani zinakopa. Hivyo nazo zimelaaniwa!
 
Hakuna binadamu ambaye hakopi, tena usimshangae huyo wengine wanakopa tar 2. Kama analipa deni tatizo liko wapi?
That is the thing..as long as analipa deni na wewe unao uwezo wa kumkopesha can't see any problem hapo.Ila kama hutaki kumkopesha si unamwambia tu?mbona rahisi sana hiyo?..tell him point-blank kwamba mkuu enough is enough nimeanza ujenzi sasa! he will definitely stop.Au fanya biashara...akope kwa returns za 20%.Otherwise helping him while deep down you are annoyed ni kikelelezo kwamba you are not an open person....
 
Mshukuru Mungu kama umejaliwa uwezo !
Kuna watu wana majukumu yanayozidi uwezo hasa tunaotoka familia maskini.
Kaka dereva, baba mstaafu wa reli, mjomba mwalimu msingi nk.
... Tofauti na wewe ambaye familia yenu ni bora !
Tunatofautiana uwezo
 
Ndugu nia yangu ni kuona suluhisho la swala hili, sina nia ya kunanga mtu, mshahara wake ni mzuri tu hali inayonipa wasiwasi huwa anafanyia nini nao, leo ni tarehe 8 mkuu, huoni hilo ni tatizo
...pure UNAFIKI !!!
Ulishindwa kumuuliza alipokuja kwa kukuamini kama rafiki umsaidie.
 
Kama ulikuwa huna ungemwambia tu mwenzio atafute namna nyingine ya kujikimu! kuliko kuleta hapa mtandaoni,hufai hata kidogo,unajua alikuwa ana shida gani? Nawachukia sana watu kama nyie, machoni kama watu mioyoni hawana utu!!! jamaa yako hana rafiki hapo!!!!!!!!!
 
Maskini akipata mata.ko hulia mbwata.
Kama rafiki yako umeamua kumsaidia "mkopo" usingepaswa kumjadili.
Aliyekupa wewe ndie aliyemnyima yeye.Unahiari ya kutompa lakini si kumjadili kwenye majukwaa.
Watu wanamatatizo mengi ambayo hayahitaji kusemwa, bali kusaidiwa.
Kumbuka "Mungu huwashusha wenye kiburi" angalia usije shushwa na wewe watu wakaanza kukujadili.
 
kukopa ndio MSINGI wa MAENDELEO. Tatizo unakopa kiasi gani na kwa malengo gani.
 
Serikali yenye resources za kila aina inakopa ije iwe mtu kama mtu???!!! kopesha kiroho safi ili msaada wako umsaidie.
 
Back
Top Bottom